siku

Siku (Quechua: antara, Aymara: siku, also "sicu," "sicus," "zampolla" or Spanish zampoña) is a traditional Andean panpipe. This instrument is the main instrument used in a musical genre known as sikuri. It is traditionally found all across the Andes but is more typically associated with music from the Kollasuyo, or Aymara speaking regions around Lake Titicaca. Historically because of the complicated mountain geography of the region, and due to other factors, in some regions each community would develop its own type of siku, with its own special tuning, shape and size. Additionally each community developed its own style of playing. Today the siku has been standardized to fit in with modern western forms of music and has been transported from its traditional roots.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Waziri mkuu Majaliwa aagiza hospital ya Uhuru mjini Dodoma iwe imekamilika ndani ya siku 15 ili Rais Magufuli aifungue 09/12/2020

    Waziri mkuu ametembelea kwa ghafla hospital ya Uhuru iliyopo Chamwino mkoani Dodoma na hajaridhishwa na hatua iliyofikiwa katika ujenzi wake. Akiwa amekasirishwa mh. Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa kuhakikisha ujenzi unakamilika ndani ya siku 15 ili mh. Rais Magufuli aje aifungue siku ya...
  2. S

    Kauli ya Magufuli kuwa Kabudi na Lukuvi hawatagombea Urais haikuwa ya ghafla, ilipangwa siku nyingi na ndio mwanzo wa mgogoro ndani ya CCM

    Siku Magufuli alipotamka hadharani kwamba Kabudi na Lukuvi hawatagombea Urais kwa sababu ya umri wao mkubwa, wengine walicheka wakiichukulia kama ni kauli ya ghafla. La hasha, hii ilikuwa ni kauli ya kimkakati ambayo Magufuli alikuwa ameitafakari na kupanga kuisema kabla hata ya kuingia Uchaguzi...
  3. Kamanda Asiyechoka

    Matukio ya polisi kunyanyasa na kutesa watu ni mengi sana

    Historia imethibitisha majeshi hayajawahi kuwashinda binadamu hata siku moja. Napoleone Bonaparte na jeshi lake lenye nguvu alipoivaimia Urusi aliondoka kwa aibu baada ya warusi kuchoma nyumba zao na baridi kali likamfanya Napoleo atoke nduki. Alipotekwa Mo Dewji tulimsikia rais JPM akisema...
  4. Miss Zomboko

    Maadhimisho ya siku ya Choo Duniani: Watu bilioni 4.2 hawana huduma nzuri za vyoo

    World Toilet Day celebrates toilets and raises awareness of the 4.2 billion people living without access to safely managed sanitation. It is about taking action to tackle the global sanitation crisis and achieve Sustainable Development Goal 6: water and sanitation for all by 2030. This...
  5. Dam55

    Hili la siku ya wanaume duniani kuingiliana na siku ya maadhimisho ya Choo imekaaje?

    Leo ni siku ya wanaume duniani lakini siku hii imekuja wakati ambapo Kuna maadhimisho ya siku ya Choo. Huko mitandaoni kashfa zimekuwa nyingi sana, hii siku imekosa thamani kabisa leo. Kweli wanaume siku hizi tunapenda vyoo hasa vile vikubwa Ila hii ya leo imezidi. =============...
  6. Bushmamy

    Kununua magazeti siku hizi ni kupoteza pesa yako

    Mfumo wa chama kimoja utafanya maisha ya mtanzania kubadilika kabisa, kiuchumi, kijamii nk. Tukiongelea upande wa magazeti hamna kipya kwa kweli, habari ni zile zile na watu ni wale wale tutakaowasikia. Hiyo ni mbaya maana itapelekea watu kutonunua magazeti na mwisho wake waandishi kwenye...
  7. Its Pancho

    Tuzo za AFRIMMA ni utopolo mkubwa siku hizi

    Hizi tuzo mwanzo zilikuwa na ushawishi sana kipindi hicho. Kiasi kwamba ukichukua tuzo ya AFRIMMA ni heshima kubwa lakini kwa sasa baada ya wanaija kuona watu wamezipuuzia wakaanza kuvuta attention kwa kuwa nominate wasanii wetu utopolo wa East Africa. Ili kurudisha hamasa ya kama mwanzo...
  8. mathsjery

    Zawadi ya ujuzi: Tutumie siku nne kuunda wavuti, isiyo zidi page tano

    Weka design katika mchoro au picha kisha tutaendelea. Mwisho wa siku kuna mtu atapata kitu fulani hapa. Kwanini nataka wewe ndio uweke design nataka nitumie muda mfupi website hii itakuwa ni multi-page. Wiki ijayo sitakuwa JF kwa muda mrefu kidogo nataka niwaache na zawadi wale watakao taka...
  9. mugah di matheo

    Mwili wa Khalid, Askari aliyeuawa Pemba Oktoba 28 wapatikana

    Mwili wa askari wa KVZ aliyejulikana kwa jina la Khalid umepatikana baada ya kuuawa siku ya uchaguzi ===== Pemba. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Pemba limefanikiwa kuupata mwili wa aliyekuwa askari wa kikosi cha KVZ Khalfan Junedi aliyedaiwa kuuawa wiki tatu zilizopita eneo la Ngwachani Wilaya...
  10. Miss Zomboko

    Novemba 16 Siku ya Kimataifa ya Uvumilivu (ustahimilivu)

    International Day for Tolerance is marked on November 16. As the name suggests, the day is observed to build tolerance among the cultures and people. The day was started by the United Nations General Assembly. The main aim behind starting this day was to make educational institutions and people...
  11. F

    Kuna wasichana ni vigeugeu siku hizi?

    Habari JF mapenzi. Nimewahi kwenda sehemu fulani kwa kazi ya shirika lisilo la kiserikali. Tulianza kuongea na vijana takribani 200 huku Kati yao wasichana ni 130. Mbele alikaa mrembo fulani na kuonesha ishara zote ananipenda. Mara aniangalie kwa pozi la mapenzi huku nkiongea, mara arembue...
  12. MK254

    Kenya yajenga Hospitali yenye vitanda 100 ndani ya siku 90 - yajayo yanaafurahisha

    Jameni kwa mwendo huu sijui tutaibukia wapi maana kila nikifumba na kufumbua macho nakumbana na bonge la muundo mbinu unazinduliwa, imekuwa vigumu kufuatilia kipi kinajengwa wapi, nchi yote mambo yanatamalaki, sema vyombo vyetu vya habari vinatuangusha sana, hawakai waandike mazuri ya nchi, kila...
  13. JituMirabaMinne

    Tuzungumze kuhusu oil za automatic gearbox, huenda siku ikakuokoa gharama

    Tuzungumze kidogo kuhusu Oil za Automatic Gearbox. Kuna makundi makubwa mawili ya Oil za Automatic Gearbox(ATF). 1. Standalone ATF 2. Universal ATF Hebu tunagalie moja baada ya nyingine. Universal ATF Hizi ni zile ATF ambazo kopo lake linaandikwa msururu wa magari ambayo hiyo ATF inaweza...
  14. SACO

    Nina ukame tatizo ni domo zege hata barmaid siwezi kutongoza

    Naomba mnisaidie jamani, nisije baka Uzi tayari
  15. Grahams

    Zikiwa zimebaki siku 50 Mwaka kuisha, hii ni tathmini ya matumizi yangu kwa mwaka 2020.

    Mwaka 2020 ndiyo unaelekea mwishoni, huku zikiwa zimebaki siku 50 kuisha. Watanzania hatuna mazoea ya kuandaa bajeti zetu binafsi, lakini ni tool muhimu sana kwenye maisha yetu hasa unapotaka kuona maeneo ya kupunguza matumizi kama sio ya lazima Hapa chini nimefanya tathmini ya matumizi ambayo...
  16. J

    Sababu za Mtoto kuzaliwa Njiti

    Kila mwaka watoto takribani milioni 15 huzaliwa kabla ya miezi tisa yaani njiti na idadi hii imekuwa ikiongezeka siku hadi siku. Ni moja kati ya sababu inayochangia kwa wingi vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano duniani. Shirika la Afya Duniani (WHO) lilikadiria takribani watoto milioni...
  17. J

    Kuelekea Siku ya Mtoto Njiti Duniani: JamiiForums na Doris Mollel Foundation waingia makubaliano

    Wakubaliana kupaza sauti kutoa elimu kwa umma kuhusu masuala yamhusuyo Mtoto Njiti hususani Changamoto wanazopitia Watoto na wazazi wao. Pia, wanadhamiria kuielimisha Jamii kuhusu namna bora ya kuwalea Watoto Njiti. Kampeni hii imelenga kuifanya jamii iondokane na fikra potofu kuhusu...
  18. Stephano Mgendanyi

    Ifahamu siku ya uapisho wa Rais nchini Tanzania na maana ya ishara zinazoambatana na matukio wakati wa uapisho

    IFAHAMU SIKU YA UAPISHO WA RAIS. MATUKIO YANAYOFANYIKA. Katika hafla ya uapisho kunakuwa na matukio mbalimbali kama ifuatavyo; ✍🏽Kupigwa kwa mizinga 21. ✍🏽Ukaguzi wa gwaride. ✍🏽Salaamu kutoka katika vikosi vya kijeshi. ✍🏽Burudani. KULA KIAPO. Katika hafla ya uapisho tukio la Rais kula kiapo...
  19. Analogia Malenga

    Siku ya kukuza Uelewa wa Tsunami duniani

    Novemba 5, Umoja wa Mataifa (UN) huadhimisha siku ya kimataifa ya kuongeza uelewa wa janga la Tsunami. Tsunami hutokea mara chache, wanaona hiyo haiondoi sababu ya dunia kujiandaa kwa janga hilo. Kwa mwaka 2020, UN inatumia siku hii kuzifanya nchi na jamii kuwa na mpango mkakati wa kupunguza...
  20. Infantry Soldier

    UTAFITI WANGU: Utakachomsimulia mpenzi wako mwanzoni penzi lenu linapokuwa jipya ndio maneno atakayokurushia siku mtakapokwaruzana

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu Jamiiforums. Ndugu zangu watanzania, hivi mnajua ya kwamba; Utakachokuwa unamsimulia sweetheart wako siku za mwanzoni penzi lenu linapokuwa jipya na moto moto ndio maneno hayo hayo atakayokurushia kama silaha siku ya kwanza mtakapogombana...
Back
Top Bottom