johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,936
- 141,908
Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mh Ole Sabaya amesema wanaccm wa Arusha wana kandarasi za majungu na ikitokea siku wakamshangilia au kumpongeza atajua anguko lake la kisiasa liko karibu.
Sabaya amesema Greenhouse za Mbowe kule Hai zilikuwa zinatiririsha maji yenye kemikali kwenye vyanzo vya maji vinavyotumiwa na wananchi ndio maana DC aliyekuwepo kabla yake alifyeka lile shamba.
Ole Sabaya anasema amepokea hati ya Mahakama ya kulifunga kabisa shamba hilo ili kuwaponya wananchi.
Maendeleo hayana vyama!
Sabaya amesema Greenhouse za Mbowe kule Hai zilikuwa zinatiririsha maji yenye kemikali kwenye vyanzo vya maji vinavyotumiwa na wananchi ndio maana DC aliyekuwepo kabla yake alifyeka lile shamba.
Ole Sabaya anasema amepokea hati ya Mahakama ya kulifunga kabisa shamba hilo ili kuwaponya wananchi.
Maendeleo hayana vyama!