Katibu Mkuu CHADEMA, John Mnyika: Wapi alipo Rais wetu?

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
WAPI ALIPO RAIS WETU?

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema kimeitaka serikali ya nchi hiyo kujitokeza na kueleza alipo rais John Magufuli na hali magufuli na yuko katika hali gani.

Kauli ya Chadema inakuja wakati ambapo kuna siutafahamu juu ya alipo rais Magufuli.

Mara ya mwisho kwa kiongozi huyo wa Tanzania kuonekanaka ilikuwa Jumamosi ya Februari 27.

Katika mkutano na wanahabari leo Ijumaa Machi 12, Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika amesema kuwa wananchi wana haki ya kupata taarifa rasmi kutoka serikalini juu ya kiongozi wa nchi yao.
Viongozi wa chama tulikaa kikao na kujadili baada ya kusambaa kwa taarifa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya kimataifa vikihoji yuko wapi rais Magufuli na baadhi vikienda mbali zaidi na kusema ni mgonjwa na yuko nchi jirani kwa matibabu... Kabla ya tamko hili kumekuwa vuta nikuvute mtandaoni baina ya watu binafsi na baadhi ya viongozi mtandaoni juu ya swali hilo," ameeleza Mnyika.

Juhudi za kumpata Msemaji wa Serikali ya Tanzania kuelezea suala hilo bado zinaendelea.

Akijibu baadhi ya maswali hayo mtandaoni, Waziri wa Katiba na Sheria wa Tanzania Mwigulu Nchemba amesema kuwa: "Kiongozi wa nchi sio Mzee wa Kanisa kwamba alipangiwa zamu na hakuoneka...Kiongozi wa nchi sio mtangazaji wa TV kwamba alikuwa na kipindi na hakuonekana... sio kiongozi wa jogging club anatakiwa kuwa tu mtaani kila siku..."

Awali kabla yake pia waziri wa habari Sanaa utamaduni na michezo Innocent Bashungwa alionya watu kusambaza taarifa ambazo si za kweli mitandaoni na kwamba wangeshughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Reuters, Balozi wa Tanzania nchini Namibia ameliambia Shirika la habari la mchi hiyo kuwa rais Magufuli ni mzima wa afya na anaendelea na shughuli zake nchini Tanzania.

Screenshot_20210312-125349_Facebook.jpg
 
Tunataka Serikali itwambie Rais Magufuli yupo wapi na anahali gani, kwani kwa mujibu wa katiba wananchi tuna haki ya kupata habari rais yupo wapi, kwani ameajiriwa na wananchi kisheria.

Mh. John Mnyika
 
Speculations by social media and reports by some international media for the past three days have been indicating that the ailing Magufuli had been hospitalised in Nairobi, Kenya, then airlfted to India. But scores of media critics doubted the credibility of the stories for lack of facts and credible sources.

As the Magufuli saga caught fire – particularly on Wednesday and Thursday – there emerged new unconfirmed reports that he had never left Dar es Salaam, and that he was apparently hospitalised at Mzena State Hospital where he has been undergoing treatment since 7th March 2021.
 
On Thursday night, an unspecified confidential report went viral claiming, among other things, that some Indian doctors had been flown in Dar es Salaam to help in the treatment of Magufuli. He is hospitalised at the same hospital where former President Benjamin Mkapa died in July last year.

The anonymity of the report notwithstanding, this version coincides with a briefing SAUTI KUBWA had received from a government insider three days ago following our report that Magufuli had been secrerly discharged from the hospital. It was the same day he was rumoured to have been admitted to a city hospital in Nairobi.

But one of our sources said: “The Kenya scenario is a hoax. It is a misinformation by TISS meant to fool the public.”
 
Speculations by social media and reports by some international media for the past three days have been indicating that the ailing Magufuli had been hospitalised in Nairobi, Kenya, then airlfted to India. But scores of media critics doubted the credibility of the stories for lack of facts and credible sources.

As the Magufuli saga caught fire – particularly on Wednesday and Thursday – there emerged new unconfirmed reports that he had never left Dar es Salaam, and that he was apparently hospitalised at Mzena State Hospital where he has been undergoing treatment since 7th March 2021.
Kumekucha
 
The unspecified report bears similar sentiments saying Tanzania would never consider Kenya as a possible destination for the president’s treatment.

So it goes, quoting an anonymous former presidential advisor: “We would never take a president to Kenya for medical treatment during a trade war… They would get all the information on the president’s condition and leak all the details or use it against you. They would never take him to Kenya – he doesn’t like Kenyans. The intelligence agents managing this don’t like Kenyans – they don’t even share intelligence.”

Surprisingly, an almost similar reason had previously been availed to SAUTI KUBWA in an attempt to explain the possible evacuation of the president from Nairobi to India. The sources had cited political and intelligence concerns.

What many sources unanimously agree on so far is Magufuli COVID-19 condition that exacerbated his existing cardiac complications. Magufuli, who is known to have a pacemaker, was developing signs of heart failure, the report says.

It claims that very few people know the president’s whereabouts so far and that all information and the management of its flow is in the hands of TISS.

It is understood that vice president Samia Suluhu has been in-charge of the presidency since 6th March when she was hurriedly called in from Zanzibar under tight security. On Tuesday this week she presided over a cabinet meeting for the first time since Magufuli took power in 2015. No mention was made of the president, and no minister enquired about him as the meeting deliberated on the 2021/22 budget discussions. The facts, reported in SAUTI KUBWA’s earlier story, were confirmed by the report.
 
Nyie CHADEMA ndio mtuambie kwa ushahid aliko Rais wetu, mmeanzisha propaganda kupitia kwa Lissu akawaambia ntv Kenya na BBC kuwa Rais yupo Kenya. Tupeni ushahidI. BBC wameeleza wamepata taarifa kwa mbelgiji lakin wameshindwa kuthibitisha ukweli. Wamejivua kiaina c mmewalipa lazima wale pesa
 
It is reported that Magufuli has been on a ventilator for much of this week, and that his family has been kept in the dark about his developments. For the first three days of his illness, attempts were made to treat him at the state house using medics from the Muhimbili National Hospital.

Several ministers who spoke to SAUTI KUBWA until today said they did not have any whereabouts of the president, as they have been consumed in the wind of existing speculations regarding his deteriorating health.

It is understood that TISS was happy on the way the Nairobi version caught the attention of global media. And they are apparently planning to use this single media flop as evidence that all that has been reported and tweeted about Magufuli is false.

Some reports said the president was starting to respond positively to medical treatment, and that should everything go well enough, his aides would organise a simple event in which he would be seen in public, albeit briefly, as a way of dispelling the speculations about his ill health – and to show the people that he was not flown to India.
 
Back
Top Bottom