Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,357
- 11,503
huyu dada nilimuunganisha na watu wa Kampuni flani kikazi. alikuwa dada mzuri ila sikuwa na mpango naye kabisa. mara nyingi alikuwa anaonesha nia ya kutaka uhusiano. mimi niliona ni kujiongezea shida tu. hana kazi anaishi kwa walezi wake amemaliza chuo , sina mpango naye kimahusiano, sitaki kutumia nafasi aliyo nayo kimapenzi n.k
nlimuunganisha na watu wa kampuni flani toka kwa rafiki yangu mmoja,akaenda kwenye inteview. aliporusi jioni akanambia kuwa inaonekana HR anamtaka kimapenzi. ameomba namba yake na kamwambia ili ampitishe inabidi wakutane kujadiliana mambo flani sehemu tulivu. baadaye jamaa akaanza tuma texts za kuonesha anamtaka kimapenz. yule dada aliponambia nikamwambia tujenge mtego tumkamatishe jamaa Takukuru au Polisi. yule dada akakubali. ilikuwa jumatano na wamepanga waonane Jumamosi. baada ya hapo mi nikakata mawasiliano. akaja nipigia nikawa busy, akanipigia alhamis nikawasiliana naye juu juu tu sikuwa napenda sana ku mu entertain kimahusano na mawasiliano ya ukaribu. akiniita love,sweet na my dear. nakwepa.
jumamosi nikasubiri simu yake. sikusikia. mpaka jumatatu nikamtafuta akawa hapokei tena simu yupo busy sana. mwishowe nikaja fahamu ameshaajiriwa. nikaona manyoya tu.nikajua tayari ashaliwa. wakati mimi nilikuwa nampambania kukomesha tabia ya rushwa ya ngono yeye ndo akaona mimi bwege. yaani nilijisikia vibaya nikikumbuka jinsi nilivyokuwa naponda hiyo tabia na kutaka ikomesha. nlikuwa nimejipanga sana kutaka kumkamatisha jamaa ili tabia hiyo ikome. demu akaniangusha sana. akaonana naye jumamosi wakamalizana na akapewa kazi.
matokeo yake anakuja nitumia msg niachane naye nisimsumbue ameona sina mwelekeo wowote na maisha yake. hataki niendeee kumfuatilia mambo yake ya kazi. basi nikamwambia anisamehe tu namtakia maisha mema. wanawake sometimes hawaeleweki. siku kama hizi muwe pia mnaka na kuelimishana badala ya kukaa kufundishana namna ya kuasi ndoa zenu na kujenga ujeuri.
nlimuunganisha na watu wa kampuni flani toka kwa rafiki yangu mmoja,akaenda kwenye inteview. aliporusi jioni akanambia kuwa inaonekana HR anamtaka kimapenzi. ameomba namba yake na kamwambia ili ampitishe inabidi wakutane kujadiliana mambo flani sehemu tulivu. baadaye jamaa akaanza tuma texts za kuonesha anamtaka kimapenz. yule dada aliponambia nikamwambia tujenge mtego tumkamatishe jamaa Takukuru au Polisi. yule dada akakubali. ilikuwa jumatano na wamepanga waonane Jumamosi. baada ya hapo mi nikakata mawasiliano. akaja nipigia nikawa busy, akanipigia alhamis nikawasiliana naye juu juu tu sikuwa napenda sana ku mu entertain kimahusano na mawasiliano ya ukaribu. akiniita love,sweet na my dear. nakwepa.
jumamosi nikasubiri simu yake. sikusikia. mpaka jumatatu nikamtafuta akawa hapokei tena simu yupo busy sana. mwishowe nikaja fahamu ameshaajiriwa. nikaona manyoya tu.nikajua tayari ashaliwa. wakati mimi nilikuwa nampambania kukomesha tabia ya rushwa ya ngono yeye ndo akaona mimi bwege. yaani nilijisikia vibaya nikikumbuka jinsi nilivyokuwa naponda hiyo tabia na kutaka ikomesha. nlikuwa nimejipanga sana kutaka kumkamatisha jamaa ili tabia hiyo ikome. demu akaniangusha sana. akaonana naye jumamosi wakamalizana na akapewa kazi.
matokeo yake anakuja nitumia msg niachane naye nisimsumbue ameona sina mwelekeo wowote na maisha yake. hataki niendeee kumfuatilia mambo yake ya kazi. basi nikamwambia anisamehe tu namtakia maisha mema. wanawake sometimes hawaeleweki. siku kama hizi muwe pia mnaka na kuelimishana badala ya kukaa kufundishana namna ya kuasi ndoa zenu na kujenga ujeuri.