Siasa za Tanzania hufanyika katika mfumo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Muungano, ambapo Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa Serikali katika mfumo wa vyama vingi.
Ambao mpo kwenye mitandao ya kijamii,youtube au sky news Rais wa marekani yupo live kuzungumzia mgogoro wa Marekani na Iran.
Pia kama una tv unaweza kuangalia CNN,Aljezira .
Tupeane updates
*****
UPDATE
Baada ya Iran kushambulia Kambi mbili za Jeshi za Marekani huko Iraq, Rais Trump...
Wanajamvi habari za muda huu? Naamini mko salama.
Leo nimeona nije na mada hii kwamba siasa ndo inarun maisha kwa kuwa kila tunapobadilisha viongozi wa kisiasa kila kitu kinabadilika. kwa hiyo kwa uelewa wangu siasa ndo kila kitu.
Kwanza ukiangalia mifumo ya maisha wanasiasa ndio wanaobuni...
Huu ni mwaka wa uchaguzi lakini pia tume ya taifa ya uchaguzi ipo katika zoezi la uboreshaji wa daftari la
Wapiga kura .Wakati zoezi hilo likiendelea vyama vya siasa vipo kimya na vyama vya wafanyakazi navyo vipo kimya.
Vyama vya wafanyakazi vinawajibu wa kuhamasisha wanachama wao...
Hakuna haja yeyote ya kuwa na vyama vingi nxhini huku tukipoteza bilions of money katika shughuli za kampeni badala ya kuziwekeza katika kukuza uchumi na Pato la taifa, itungwe katiba yenye kuonesha dira ya taifa na Kila kiongozi aifuate na aiheshimu vinginevo awajibishwe tuachane na mfumo wa...
Wewe kama ni msanii mwenye mafanikio makubwa na uliepata utajiri au fedha nyingi kupitia fani yako, kamwe usijingize kwenye siasa wakati bado uko kwenye chati, bali fanya hivyo pale amapo umri unapokutupa mkono kutumikia fani yako, au pale kiwango chako kinapoanza kuporomoko kwa maana ya uwezo...
Naomba nitoe ushuhuda kidogo.
Mimi ni moja ya watu ambao najaribu kuwekeza kwenye kilimo ila naleta ushuhuda ili liwe somo kwa serikali na wananchi kwa ujumla.
Maka jana nililima ekari 20 za mahindi mkoa wa Rukwa na nilipovuna mwezi wa 7 mwaka jana nilipata gunia 350 nikaweka store maana...
CCM YAAHIDI KUENDELEA KUHESHIMU MAAMUZI YA UMMA
02 Januari, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amesema kuwa, CCM mwaka 2020 itaongoza siasa safi za uchaguzi, ni mwaka wa kudhihirisha CCM inaongoza siasa safi na kuheshimu maamuzi ya Umma kama ilivyofanya mwaka 2019...
Najua mmenimiss kiasi kwa kuwa sijapost sana hasa hasa miezi ya mwisho wa mwaka 2019.
Napenda kuwaambia nawapenda sana wanajukwaa wenzangu.
Bado nipo Gado sana representing Team Magufuli kisayansi ...naamini mnanielewa sana moyoni ila huwa mnanipinga hadharani.
Bado nitaendelea kuwaletea...
Huwa wanaimba nyimbo za wanawake lakini ndiyo mfumo wa maisha ya Mtanzania kuwa ni kisiwa cha amani.
Ikifika kwenye kuboresha vitu kama majengo, kilimo, uvuvi, mifugo n.k utakutana na ubaguzi mkubwa sana hapo ndipo episode za movie huishia tukutane kwenye movie nyingine.
Hongera Kayumba huu...
Wanajanvi, nimekuwa nikipitia na kusoma mengi juu ya usalama wa nchi na afya za raia wake.
Naomba nifanye declaration of interest "Mimi ni muoga sana wa ugaidi"
Nianzie Napa, Car esalaamu inategemea maji ya Ruvu juu na Ruvu Chini. Ruvu juu ikuhudumu sehemu ndogo kulinganisha na ruvu chini...
Ninavyowaona hawa wazee hawapendi kabisa watu kuonewa .hawapendi dhuluma .ila hamna siasa isiyokuwa na dhuluma.Ndio maana Mzee mwinyi alijiuzuru uwaziri wa mambo ya ndani baada ya kuona dhuluma na mauaji yalifanywa na polisi wasio na maadili. Na aliweka wazi kabisa ni polisi ambao walikiuka...
Ninaandika ili iwe kumbukumbu kwa vizazi vilivyopo kwamba.
Mwaka 2020 utaweka historia ya vilio na majonzi kwa watu wa kada zote
Uwe Ccm, uwe chadema, uwe hauna chama, watoto, vijana wazee, wake kwa waume hakika ni mwaka wa majonzi.
Uwe mwanasiasa, uwe mfanyabiashara, uwe mkulima uwe...
Hivi vyama viwili kila kimoja kimeelekea zaidi upande fulani tofauti na kingine jambo ambalo ni hatari kwa umoja wa kitaifa.
Nimejaribu kuangalia uongozi wao wa juu na kamati kuu za vyama hivi viwili sijaona uwiano kabisa ni kama vile vyama vya uarabuni au nchi za Scandinavia.
Nawashauri...
Siasa za CCM Mpya ya Magufuli si mchezo !
Leo Comrade Mwigulu Lameck Nchemba amenywea na kupotea kabisa!
Kiburi ,kujikweza na kuvaa maskafu ya Bendera ya Taifa hadi chooni kwisha kabisa!
Timu yake ya Singida United inatupiwa virago nje na NHC na kupigwa mnada kwa kushindwa kulipa Tshs.3...
Nimesoma vitabu 17 Mwaka 2019 nimepata maarifa kadhaa tutagawana hapa na kuelekezana kistaarabu
1.The Black mass-John le Carré: huyu mwandishi anaelezea kwamba kabla ya uvamizi Wa Iraq America walijua fika kwamba hakukuwa na Silaha za Nyukilia ndani ya Iraq ilikuwa ni mbinu ya america...
Viongozi wa dini katika nchi yetu tunaelekea katika uchaguzi mkuu wa 2020.
Wanasiasa wameshaanza kujipitisha pitisha kwenye nyumba za ibada na kujifanya ni watu wema Sana na kwamba huu ni wakati wa kuwa wamoja na kuongeza upendo.
Inasikitisha kuona kwamba kwa kipindi Cha miaka minne taifa...
Katika nchi yetu na pengine duniani kote,hesabu ndio somo linalotajwa kuwa gumu(wengi wanashindwa kulielewa) kuliko masomo mengine mengi, ila binafsi naona kwa nchi yetu siasa za nchi hii ndio somo gumu zaidi kueleweka kwa watanzania walio wengi.
Inawezekana kabisa hata wale ambao ni...
Nimekuwa naandika Sana kuhusu mambo ya siasa,
Nimekua napewa baadhi ya tetesi nazirusha hapa,
Nimekuwa na Mlengo wa Chama Cha Mapinduzi kwa Muda mrefu
Kuna muda nimeshabikia mambo ya Kinyama yaliyofanywa na Chama changu cha Mapinduzi
Nayakumbuka Matukio
1.Nimeshiriki sana Kuiba kura za...
Habari wana jamvi,
Msimu huu Arsenal tuna hali mbaya kuliko Misimu yote iliyopita, Emery alietegemewa kufanya makubwa na kikosi cha Arsenal akakibomoa kikosi kwa migogoro na wachezaji.
Alianza kwa mbwembwe za kufika fainali ya Europa hatimaye akala kipigo kitakatifu kutoka kwa timu iliyokuwa...
Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya mwaka 1977, ibara ya 3(1) inasomeka hivi " Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakuwa nchi ya kidemokrasia na ya mfumo wa vyama vingi" mwisho wa kunukuu
Katika mazingira hayo vyama vya upinzani vinapaswa kutoa "constructive criticism" ambavyo...