Semeni People
Member
- Dec 26, 2019
- 35
- 16
Huwa wanaimba nyimbo za wanawake lakini ndiyo mfumo wa maisha ya Mtanzania kuwa ni kisiwa cha amani.
Ikifika kwenye kuboresha vitu kama majengo, kilimo, uvuvi, mifugo n.k utakutana na ubaguzi mkubwa sana hapo ndipo episode za movie huishia tukutane kwenye movie nyingine.
Hongera Kayumba huu wimbo unaingia makumbusho nextime tutaomba mapenzi ya kioo yatumike kuboresha maisha ya Mtanzania.
Kudos
Ikifika kwenye kuboresha vitu kama majengo, kilimo, uvuvi, mifugo n.k utakutana na ubaguzi mkubwa sana hapo ndipo episode za movie huishia tukutane kwenye movie nyingine.
Hongera Kayumba huu wimbo unaingia makumbusho nextime tutaomba mapenzi ya kioo yatumike kuboresha maisha ya Mtanzania.
Kudos