Chadema na ACT Wazalendo wanaweza kutumika na wabobezi wa siasa kali

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,968
141,975
Hivi vyama viwili kila kimoja kimeelekea zaidi upande fulani tofauti na kingine jambo ambalo ni hatari kwa umoja wa kitaifa.

Nimejaribu kuangalia uongozi wao wa juu na kamati kuu za vyama hivi viwili sijaona uwiano kabisa ni kama vile vyama vya uarabuni au nchi za Scandinavia.

Nawashauri wakongwe wa siasa za upinzani Mh Mbowe na mwenzie Zitto waige utaratibu wa CCM ambao umeweka hadi zamu za kuongoza kwa mamlaka ya juu kabisa kwa usawa kwa kila upande.

Ni hayo machache

Maendeleo hayana vyama!
 
Huenda kukawa na mapungufu ya hapa na pale katika uwiano wa viongozi wa cdm au ACT, lakini ni wendawazimu hivyo vyama kwenda kuiga mitindo ya ccm. Hili hata mzee Mgaya na mchungaji Erasto hawawezi kukuunga mkono.
 
Hivi vyama viwili kila kimoja kimeelekea zaidi upande fulani tofauti na kingine jambo ambalo ni hatari kwa umoja wa kitaifa.

Nimejaribu kuangalia uongozi wao wa juu na kamati kuu za vyama hivi viwili sijaona uwiano kabisa ni kama vile vyama vya uarabuni au nchi za Scandinavia.

Nawashauri wakongwe wa siasa za upinzani Mh Mbowe na mwenzie Zitto waige utaratibu wa CCM ambao umeweka hadi zamu za kuongoza kwa mamlaka ya juu kabisa kwa usawa kwa kila upande.

Ni hayo machache

Maendeleo hayana vyama!
Kama sio mwanachama wa vyama hivyo kwanini unahangaika? Waache wenye vyama vyao na wewe endelea na chama chako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vyama viwili kila kimoja kimeelekea zaidi upande fulani tofauti na kingine jambo ambalo ni hatari kwa umoja wa kitaifa.

Nimejaribu kuangalia uongozi wao wa juu na kamati kuu za vyama hivi viwili sijaona uwiano kabisa ni kama vile vyama vya uarabuni au nchi za Scandinavia.

Nawashauri wakongwe wa siasa za upinzani Mh Mbowe na mwenzie Zitto waige utaratibu wa CCM ambao umeweka hadi zamu za kuongoza kwa mamlaka ya juu kabisa kwa usawa kwa kila upande.

Ni hayo machache

Maendeleo hayana vyama!
Ujamaa ulishakufa zamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vyama viwili kila kimoja kimeelekea zaidi upande fulani tofauti na kingine jambo ambalo ni hatari kwa umoja wa kitaifa.

Nimejaribu kuangalia uongozi wao wa juu na kamati kuu za vyama hivi viwili sijaona uwiano kabisa ni kama vile vyama vya uarabuni au nchi za Scandinavia.

Nawashauri wakongwe wa siasa za upinzani Mh Mbowe na mwenzie Zitto waige utaratibu wa CCM ambao umeweka hadi zamu za kuongoza kwa mamlaka ya juu kabisa kwa usawa kwa kila upande.

Ni hayo machache

Maendeleo hayana vyama!
Pamoja na mapungufu yao, hawana la kujifunza kutoka CCM, CCM hii inayovua vyura na kuridhika kuwa imevua samaki???
 
Back
Top Bottom