maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,774
- 2,297
Wanajamvi habari za muda huu? Naamini mko salama.
Leo nimeona nije na mada hii kwamba siasa ndo inarun maisha kwa kuwa kila tunapobadilisha viongozi wa kisiasa kila kitu kinabadilika. kwa hiyo kwa uelewa wangu siasa ndo kila kitu.
Kwanza ukiangalia mifumo ya maisha wanasiasa ndio wanaobuni. Tafadhali naongelea Tanzania ila kwa wengine wataalam wanasikilizwa.
Pili Atunaishi kwa matakwa ya wanasiasa
Tatu ukija kwenye suala la mifumo ya biashara, elimu, kilimo uvuvi kila kona wanasiasa ni kutoa amri tu. Wataalam wanaishia kunung'unika ukileta za kuleta job yako inaota mbawa.
Kiukweli mimi naona tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu mpaka tutakapopata wanasiasa watakao washiriksha wataalamu.
Mimi nasema siasa ndo inarun maisha; penda usipende, bisha usibishe, huu ndo ukweli.
Leo nimeona nije na mada hii kwamba siasa ndo inarun maisha kwa kuwa kila tunapobadilisha viongozi wa kisiasa kila kitu kinabadilika. kwa hiyo kwa uelewa wangu siasa ndo kila kitu.
Kwanza ukiangalia mifumo ya maisha wanasiasa ndio wanaobuni. Tafadhali naongelea Tanzania ila kwa wengine wataalam wanasikilizwa.
Pili Atunaishi kwa matakwa ya wanasiasa
Tatu ukija kwenye suala la mifumo ya biashara, elimu, kilimo uvuvi kila kona wanasiasa ni kutoa amri tu. Wataalam wanaishia kunung'unika ukileta za kuleta job yako inaota mbawa.
Kiukweli mimi naona tutaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu mpaka tutakapopata wanasiasa watakao washiriksha wataalamu.
Mimi nasema siasa ndo inarun maisha; penda usipende, bisha usibishe, huu ndo ukweli.