I mean kwa nini wanapoteza muda na kodi zetu kukamata watu ambao wanaikashifu na kutukana hata kuisaliti nchi yetu? Kwa nini Serikali yetu isjwatambue na kudili nao kimya kimya kama kuwa bankrupt, kuwanyima passport yetu, kama ni Wanasiasa kwa kutumia mbinu zote kwa kioo cha demokrasia...