Wapinzani wameona jinsi gani Rais MAGUFULI akipambana kuleta maendeleo ya kweli katika Nchi yetu ya Tanzania,Hata baadhi ya wapinzani wanamkubali sana Magufuli lakini kwa kuwa wao wameshaapa kuwa wapinzani hawana jinsi bali ni kuendelea kumwaga sumu kwa wananchi ili ionekane wao ndio watu sahihi katika kuwapatia maendeleo.
Wamekuwa wakimwaga sumu kwa kuzisambaza picha za wagombea wa Serikali za mitaa wakijaza fomu zao na kuwaambia wananchi kwamba kuna watendaji wamekuwa wakiwasaidia wagombea wa CCM kujaza fomu huku wamefunga ofisi ili wapinzani wakose fomu.
Ukifuatilia kwa umakini kabisa mitandaoni utagundua kuna vikundi fulani ambavyo vimeandaliwa na wapinzani kwa ajili ya kumwaga sumu mbalimbali ili kuwachanganya watu na hata waonekane wao wanaonewa na hata sasa wamejipanga kuuchafua uchaguzi wa serikali za mitaa ili ionekane wanaccm wameiba kura.
Ila watanzania mkae mjue Rais Magufuli hana muda wa kukaa na watendaji wake kwa ajili ya kupanga mambo ya kijinga kama wapinzani wanavyodai kwamba watendaji wa kata wametumwa baada ya kukaa na Rais lakini swali la kujiuliza kama kweli wametumwa mbona kata zingine wanachukua fomu bila ya tatizo lolote kwanini hao wachache kama kweli amewapa maagizo basi kata zote zingekuwa na taarifa moja tu.
Aidha,kama ww ni mfuatiliaji mzuri wa habari mitandaoni utaona ni jinsi gani wapinzani wanavyojipanga kumwaga sumu kama wataona kitu hawakipendi mfano lile sakata la vodacom walilihamasisha sana watu waache kutumia mtandao wa vodacom eti kwa sababu ya kuingilia uhuru wa kusikilizisha sauti za wateja wao,sasa hivi wanaanzisha kuwa watendaji wa kata hawakai kwenye ofisi zao kwa makusudi na hata kunyimwa fomu zao, lakini inawezekana kuna masharti ambayo wanaweza wakawa hawajayafuati, na sio kila wakati upo ofisini inawezekana wao wanakuja mida ya mapumziko kwa makusudi kabisa ili ionekane wamenyimwa hizo fomu.
Binafsi naona hiyo ni mbinu yao mpya ya jinsi ya kuiba kura kwamba ionekane wao ndio wameshinda wakati hawajashinda kwa kuwa waliweza kumwaga sumu kabla ya uchaguzi. Ila wapinzani wakae wajue wananchi wana akili zao wao ndio watakaoamua hakuna mtu anayependa kuoongozwa na mtapatapa bali mtendaji tu.
Wamekuwa wakimwaga sumu kwa kuzisambaza picha za wagombea wa Serikali za mitaa wakijaza fomu zao na kuwaambia wananchi kwamba kuna watendaji wamekuwa wakiwasaidia wagombea wa CCM kujaza fomu huku wamefunga ofisi ili wapinzani wakose fomu.
Ukifuatilia kwa umakini kabisa mitandaoni utagundua kuna vikundi fulani ambavyo vimeandaliwa na wapinzani kwa ajili ya kumwaga sumu mbalimbali ili kuwachanganya watu na hata waonekane wao wanaonewa na hata sasa wamejipanga kuuchafua uchaguzi wa serikali za mitaa ili ionekane wanaccm wameiba kura.
Ila watanzania mkae mjue Rais Magufuli hana muda wa kukaa na watendaji wake kwa ajili ya kupanga mambo ya kijinga kama wapinzani wanavyodai kwamba watendaji wa kata wametumwa baada ya kukaa na Rais lakini swali la kujiuliza kama kweli wametumwa mbona kata zingine wanachukua fomu bila ya tatizo lolote kwanini hao wachache kama kweli amewapa maagizo basi kata zote zingekuwa na taarifa moja tu.
Aidha,kama ww ni mfuatiliaji mzuri wa habari mitandaoni utaona ni jinsi gani wapinzani wanavyojipanga kumwaga sumu kama wataona kitu hawakipendi mfano lile sakata la vodacom walilihamasisha sana watu waache kutumia mtandao wa vodacom eti kwa sababu ya kuingilia uhuru wa kusikilizisha sauti za wateja wao,sasa hivi wanaanzisha kuwa watendaji wa kata hawakai kwenye ofisi zao kwa makusudi na hata kunyimwa fomu zao, lakini inawezekana kuna masharti ambayo wanaweza wakawa hawajayafuati, na sio kila wakati upo ofisini inawezekana wao wanakuja mida ya mapumziko kwa makusudi kabisa ili ionekane wamenyimwa hizo fomu.
Binafsi naona hiyo ni mbinu yao mpya ya jinsi ya kuiba kura kwamba ionekane wao ndio wameshinda wakati hawajashinda kwa kuwa waliweza kumwaga sumu kabla ya uchaguzi. Ila wapinzani wakae wajue wananchi wana akili zao wao ndio watakaoamua hakuna mtu anayependa kuoongozwa na mtapatapa bali mtendaji tu.