Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Wakitaka kupitishana wapitishane tu ila sitapiga kura kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa. Ukimya au majibu mepesi ya viongozi juu ya upumbavu unaofanywa na watendaji wa vijiji/mitaa na kata unaleta picha kuwa viongozi hawachaguliwi na wanachi bali Serikali.
Sasa kama Serikali ndio yenye jukumu la kuchagua viongozi wote wakisiasa ni vyema waendelee na jukumu lao.
Afrika hatukustahili kujiongoza, chama kinapewa kipaumbele kuliko nchi.
Sasa nimeamini kuwa Mwafrika ni janga katika ulimwengu huu.
Sasa kama Serikali ndio yenye jukumu la kuchagua viongozi wote wakisiasa ni vyema waendelee na jukumu lao.
Afrika hatukustahili kujiongoza, chama kinapewa kipaumbele kuliko nchi.
Sasa nimeamini kuwa Mwafrika ni janga katika ulimwengu huu.