Wapinzani wataka muda wa kuchukua fomu uchaguzi wa Serikali za mitaa uongezwe

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,507
141,233
Wakati kesho ikiwa ndio siku ya mwisho ya kuchukua na kurejesha fomu kwa wagombea wa serikali za mitaa, vyama vya upinzani vimetaka muda huo usogezwe mbele.

Source Mwananchi
 
He he he.. Huu Uchaguzi wa Serikali za mitaa Mnayumba yumba tuu.. Je hii 2020 ndio kabisa tutaona Mengi.
Jaribuni kwenda na wakati uliopangwa.. msije mkaanza kusema mara mnafanyiwa hujuma pindi wakikataa muda kuongezwa.
 
Kwanini msikae hapo ofisini 24 hrs?

Wakae 24hrs ndio utaratibu? Baada ya Magufuli kutamba miaka minne akifanya siasa na kumuonea yoyote asiyemsijudia, nilitarajia aheshimu box la kura kwani wapinzani wake wameshakufa kisi, lakini naona kinyume chake.

Hapo ndio ukitaka kujua wazungu wako sahihi kutuita manyani angalia haya yanayoendelea kwenye chaguzi zetu. Kibaya zaidi huo uhanithi unafanywa na watumishi wenye elimu ya vyuo.
 
Utagombea bila kujiandikisha?!

Wanaoenda kuchukua fomu wamejiandikisha wakiongozwa na Mbowe na Mdee. Unaweza kuwaagiza wasimamizi wa vituo maana una sauti huko, yoyote anayeenda kuchukua fomu aonyeshe kama kajiandikisha.
 
Wakati kesho ikiwa ndio siku ya mwisho ya kuchukua na kurejesha fomu kwa wagombea wa serikali za mitaa, vyama vya upinzani vimetaka muda huo usogezwe mbele.

Source Mwananchi
Watendaji wa kata ni Sumu ya Demokrasia nchini wamekuwa kero kwa wapinzani utazani CCM imewahi kupigana vita vya siraha kubwa za moto maangamizi ya kimbali na wapinzani, CCM wana chuki mbaya kwa wapinzani mpaka uliwengu mzima unashangaa
 
Halafu utawasikia wameibiwa kura. Sijui nani atakuwa amewapigia!
Unataka kutuaminisha kuwa kama mwana CCM akijiandikisha basi automatically anapiga kura yake kwa mgombea wa CCM?.
Kila mtu ana utashi wake,ndio maana unakuta jimbo fulani kura za rais zinakuwa nyingi kutoka chama A na ndogo kwa mbunge wa chama B.
 
K
Unataka kutuaminisha kuwa kama mwana CCM akijiandikisha basi automatically anapiga kura yake kwa mgombea wa CCM?.
Kila mtu ana utashi wake,ndio maana unakuta jimbo fulani kura za rais zinakuwa nyingi kutoka chama A na ndogo kwa mbunge wa chama B.
Kama mwana Chadema anaweza kumpigia kura wa CCM sina pingamizi na hoja yako. Lakini, kumbuka kuwa mara nyingi wana CCM huwapigia kura wa upinzani pale wanapokuwa hawamkubali mgombea wao.
 
Wakati kesho ikiwa ndio siku ya mwisho ya kuchukua na kurejesha fomu kwa wagombea wa serikali za mitaa, vyama vya upinzani vimetaka muda huo usogezwe mbele.

Source Mwananchi
Muda hauwezi kuongezwa maana huo ni moja ya mikakati ya kijinga ya ccm kushinda kwa kishindo
 
Back
Top Bottom