Serikali yatangaza bei ya kikomo ya Sukari; ipo kati ya Tsh. 2,600 na Tsh. 3,200 kwa kilo kutegemea na Mkoa

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,431
3,321
Serikali imetangaza bei ya ukomo ya Sukari kwa rejareja katika Mikoa yote nchini, ambapo kwa Dar es Salaam itauzwa kwa Shilingi 2,600 kwa Kg 1, Mbeya 3,000, Mwanza, Dodoma na Shinyanga 2,900, Kigoma 3,200, Arusha na Kilimanjaro ni 2,700, Kagera na Mara ni 3,000.

Aidha kwa Mikoa ya Lindi na Mtwara, Sukari itauzwa kwa Sh.2,800, Rukwa, Katavi, Ruvuma itauzwa kwa Sh 3,200. Njombe, Geita, Tabora, Singida, Iringa na Simiyu itauzwa kwa Sh.2900 na kwa Manyara, Tanga, Pwani na Morogoro itauzwa kwa Sh 2,700 na Songwe ni Sh.3,000.
 
Serikali imetangaza bei ya ukomo ya Sukari kwa rejareja katika Mikoa yote nchini, ambapo kwa Dar es Salaam itauzwa kwa Shilingi 2,600 kwa Kg 1, Mbeya 3,000, Mwanza, Dodoma na Shinyanga 2,900, Kigoma 3,200, Arusha na Kilimanjaro ni 2,700, Kagera na Mara ni 3,000.

Aidha kwa Mikoa ya Lindi na Mtwara, Sukari itauzwa kwa Sh.2,800, Rukwa, Katavi, Ruvuma itauzwa kwa Sh 3,200. Njombe, Geita, Tabora, Singida, Iringa na Simiyu itauzwa kwa Sh.2900 na kwa Manyara, Tanga, Pwani na Morogoro itauzwa kwa Sh 2,700 na Songwe ni Sh.3,000.
Jumatatu niliulizia sukari Tabata kilo 3500.
Manake sio wanaongea wakiwa kwenye viti maofisini ,waingie mitaani hasa uswahilini huku sukaru 3500 kilo.
 
Drama...walishindwa kipindi kile, ngoja tuone kipindi hiki...bei elekezi my foot!
Mvua zimeharibu sugar content kwenye miwa...imekuwa chelema.
Huu mwaka mbovu kwakweli...uishe jamani

Everyday is Saturday..................... :cool:
 
Nilipoona tu hii nimeingia dukani kilo iko pale pale 3600 maeneo ya kimara hapa. Daaah embu tuone. Maana niliumia jumatatu. Hapa ndio tukisema tununue mabaurungutu ya viroba tunawekwa ndani
 
Drama...walishindwa kipindi kile, ngoja tuone kipindi hiki...bei elekezi my foot!
Mvua zimeharibu sugar content kwenye miwa...imekuwa chelema.
Huu mwaka mbovu kwakweli...uishe jamani

Everyday is Saturday..................... :cool:
Mark my words.
Safari hii itawezekana tu.
 
Kwani Serikali ina sukari? na inafanya biashara?na maghala yao yako wapi? Mimi nafikili wafanyabiashara wangeachwa wapange bei hata ikiwezekana iwe hata 10,000/ kwa kg 1,hakuna shida sisi WANYONGE tutanunua tu.
 
Kwani Serikali ina sukari? na inafanya biashara?na maghala yao yako wapi? Mimi nafikili wafanyabiashara wangeachwa wapange bei hata ikiwezekana iwe hata 10,000/ kwa kg 1,hakuna shida sisi WANYONGE tutanunua tu.
HEBU JIPIGEPIGE KIFUA NA KUJIAMBIA WEWE NI MATAKO

[/QUOTE]
 
Mbwa kabisa hawa
Serikali imetangaza bei ya ukomo ya Sukari kwa rejareja katika Mikoa yote nchini, ambapo kwa Dar es Salaam itauzwa kwa Shilingi 2,600 kwa Kg 1, Mbeya 3,000, Mwanza, Dodoma na Shinyanga 2,900, Kigoma 3,200, Arusha na Kilimanjaro ni 2,700, Kagera na Mara ni 3,000.

Aidha kwa Mikoa ya Lindi na Mtwara, Sukari itauzwa kwa Sh.2,800, Rukwa, Katavi, Ruvuma itauzwa kwa Sh 3,200. Njombe, Geita, Tabora, Singida, Iringa na Simiyu itauzwa kwa Sh.2900 na kwa Manyara, Tanga, Pwani na Morogoro itauzwa kwa Sh 2,700 na Songwe ni Sh.3,000.
 
Nilipita maduka nje ya, Kilombero kiwandani nao bei juu, kuulizia Morogoro wanasema bei ya jumla kilo 3,200...
Mfanyabiashara aliyenunua bei ya jumla 3,200 kwa kilo unamwambia auze, 2,900...
Na haumpi subsidies afidie hasara yake...

Hiyo bei kiukweli serikali inunue sukari yote kama korosho watuuzie vituo maalum..

Else bei zitabaki kuwa za wafanyabiashara..

Everyday is Saturday..................... :cool:
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom