June 7, 2020
Mwanza, Tanzania
Serikali yaacha kutoa bei elekezi ya pamba
Waziri wa Kilimo Mh. Japhet Hasunga awaambia wakulima, bodi ya Pamba na wadau wa zao la pamba nchini kuwa sasa serikali imeacha kutoa bei elekezi ya zao la pamba.
Waziri huyo wa Kilimo alibainisha kuwa mwaka jana...