Tuna vijana wengi wamemaliza darasa la saba, kidato cha nne, kidato cha tano, chuo, n.k. wana moto na hali ya kufanyakazi lakini kazi za kufanya za kujenga jamii au taifa huku wakijipatia kipato ziko wapi? Kisayansi: kazi (Work) = Force (kani) X Distance ( Umbali).
Ikiwa na maana ukiburuza...
Kuna wakati ukivifikiria hivi vyama vya upinzani unaelewa ni kwanini CCM inaweza kuongoza hii nchi kwa namna inavyotaka.
KUB anaomba eti NEC ndio isimamie uchaguzi wa serikali za mitaa badala ya waziri wa Tamisemi.......yaani anaamini hapo ndio haki itatendeka.
Binafsi sioni tofauti kati ya...
Rais wa Tanzania, John Magufuli amewataka wananchi kujihadhari kujenga nyumba kwenye maeneo ambayo kuna mkondo wa maji.
Mkuu huyo wa nchi ametoa tahadhari hiyo leo Jumatano Desemba 18, 2019 wakati anazindua mradi wa Visima vya maji Chato na kuzungumza na wananchi wa Chato katika uwanja wa Shule...
Serikali imezindua mkakati wa taifa wa awamu ya pili wa miaka 10, wa kuendeleza zao la mpunga nchini ili kuhakikisha wanafikia hekta milioni moja ifikapo mwaka 2025.
Hayo yalibainishwa jana na Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga, ambapo alisema lengo ni kuona wanaongeza uzalishaji wa zao la mpunga...
Mwandishi wa habari maarufu wa Libya amekamtwa na kuwekwa kizuizini na chombo cha kijasusi ambacho kinatajwa kuwa na uhusiano na serikali inayoungwa mkono na jumuiya ya kimataifa.
Chombo hicho kilimtia nguvuni Reda Fhelboom akiwa katika uwanja wa ndege nje kidogo ya mji wa Tripoli, muda mfupi...
Zitto kabwe amefilisika sana. Maneno yake kuhusu upungufu wa chakula nchini hayana mashiko.
Bodi ya Takwimu (NBS) ndio wa kwanza kusema kuna mfumuko wa bei.
Benki ya Dunia (WB) ikasema umasikini umepungua nchini hivyo watu wanamudu gharama za kununua vyakula.
Aidha, ripoti ya Utafiti wa kina...
Waziri wa ujenzi mh Kamwelwe amesema kwa sasa Serikali inaumiliki uwanja wa KIA kwa asilimia 100 baada ya kuwalipa wazungu waliokuwepo kiasi cha dola za Marekani 5.6 milioni.
Kamwelwe amesema kwa sasa bodi ya uwanja huo ni ya wazalendo watupu na tayari wameanza kutoa gawio Serikalini na kwamba...
Serikali imewasilisha nia ya kukata rufaa Mahakama Kuu, kupinga hukumu na adhabu iliyotolewa na Mahakama ya Kisutu, dhidi ya aliyekuwa rais wa zamani wa TFF, Jamal Malinzi na katibu wake, Celestine Mwesigwa
====
UPANDE wa Mashtaka umewasilisha nia ya kukata rufaa Mahakama Kuu, kupinga hukumu na...
Mara kadhaa Zitto amekuwa akikejeli na kutukana serikali ya awamu ya tano tena kwa maneno ya kebehi na dharau bila uoga wowote wakati akijua kuwa serikali ni pamoja na sisi wananchi wote wa nchi hii. Maneno yake maarufu anayotumia kuitukana serikali na nchi kwa ujumla ni "mazwazwa" na...
Hatimaye Serikali umeamua kufungua kiwanda kikubwa na cha kisasa cha kusindika mbogamboga maana sasa hivi akina mama wengi wanafunga mboga zao, Serikali imeamua kuboresha na kuandaa kiwanda kitakachoajiri watu 100,000 na kupewa mishahara ya laki 5.
Hakika hakuna kiwanda kilichokufa vyote vipo...
Kawaida mtu ukiingia hotel muda unaoingia ndio kesho yake unatakiwa uwe muda wako wa kutoka sababu unalipia kwa siku yaani masaa 24
Mahotel ya Tanzania yamejiwekea utaratibu wa wizi kuwa muda wa kutoka lazima uwe saa nne asubuhi bila kujali umeingia saa ngapi.
Nilikuwa Nigeria niliingia saa...
Kiwanda hiki kilikuwa kikubwa sana na kiliajiri direct na indirect zaidi ya watu 2000.
Kilikuwa kikisindika maziwa, nyama na vitu kama vile cheese.
Wamasai walikuwa wakiuza ng'ombe na maziwa na kuwa na kipato cha uhakika. Leo chali.
Tafadhali serikali sikivu ya Mh. Rais Magufuli, kiwanda hiki...
Tulimaliza Chuo tangu Nov, 2017.
Ilipofika June 2018 Vyeti vikagawiwa kwa Wahitimu wote, lakini katika Vyeti vile kulikuwa na makosa ya kukosewa majina baadhi ya Wahitimu, tukaambiwa na Mkuu wa Chuo kuwa wote ambao majina yetu yalikosewa yatupasa tujiorodheshe baada ya miezi mitatu tukachukue...
Kimsingi watumishi wa umma wengi tuliohamishiwa Dodoma tunaishi maisha ya ajabu sana, bado hatujakubali kwamba ngoma ndio ishatoka hiyo na kifupi ikirudi ni panchaaa!wengi wetu tumepanga chumba kimoja ndani kuna gororo tumeweka chini basi.
Wengi wetu muda wa kazi ukiisha tunazugazuga pale...
Mambo mawili makubwa yamejitokeza hivi karibuni kwanza CCM imeshinda uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kishindo, pili Tume ya taifa ya uchaguzi imevuka lengo kwa kuandikisha wapiga kura wengi kuliko ilivyotarajiwa.
Hii maana yake ni kuwa uchaguzi mkuu wa 2020 utakuwa na wapiga kura zaidi ya...
Kuna wafungwa huona maisha ya gerezani raha sababu mengi hayana kazi ngumu.
Nashauri kwa wale watenda makosa ambao wakifungwa wakiachiwa wanarudia makosa wawe na magereza yao maalum yenye suluba za kazi za uhakika.
Hivi gereza la Maweni au magereza ya kupasua kokoto hayawezi wafaa? Serikali...
Binafsi naamini kuwa chama cha siasa ni taasisi. Naamini hivyo pamoja na kutowahi maishani mwangu kujiunga na chama chochote cha siasa hapa Tanzania na kwingineko. Kama taasisi, chama hujiendesha kwa gharama.
Kuna kuwalipa waajiriwa wa chama, kugharimia shughuli za kila siku za chama,kugharimia...
Kama Rais Magufuli na vyombo vyake vya polisi wanadhani watatufanyia uhuni kama walivyofanya kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019, mpatanishi atakua Katibu wa Umoja wa Mataifa.
#DevelopmentIsWoman
#MaendeleoNiMwanamke
#NoHateNoFear
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philipo Mpango leo amepokea gawio na ziada nyingine kwa Makampuni 58 ambayo yalikuwa hayajatoa gawio kwa serikali ambapo Rais Magufuli alitoa siku sitini (60) wawe wametoa gawio.
Pia Waziri Mpango ameagiza Makampuni na taasisi ambazo bado hazijatoa gawio la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.