johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,900
- 141,836
Siyo kwamba huyu aliyepo Dr Abbas hafanyi vizuri la hasha, ni kwa sababu mambo mengi mazuri unayoyafanya yanahitaji mkongwe wa habari aliyetumikia awamu zote kuweza kuyaelezea kwa ufanisi na ulinganifu.
Nikisema zaidi utaona kama nampamba huyu Mayalla, basi nikuombe tu mh Rais ipitie CV ya nguli huyu wa habari za maendeleo na ikikupendeza atusaidie katika kuhabarisha juu ya maendeleo yanayopatikana siku hadi siku katika taifa letu.
Maendeleo hayana vyama!
Nikisema zaidi utaona kama nampamba huyu Mayalla, basi nikuombe tu mh Rais ipitie CV ya nguli huyu wa habari za maendeleo na ikikupendeza atusaidie katika kuhabarisha juu ya maendeleo yanayopatikana siku hadi siku katika taifa letu.
Maendeleo hayana vyama!