Habari wanajf.
Kuna rafiki yangu kachaguliwa kozi mbili vyuo vitatu, anaomba ushauri vipi a confirm.
1. Cyber security (Arusha)
2. Laboratory science in biotechnology (SUA na MUST)
Msaada tafadhari , ipi Ina soko Sana ama Ina unafuu kwenye upatikanaji wa ajira
Vacancy - Tigo Pesa
Post Title: Cyber Security Manager
How to Apply
If you are interested in applying for this position, kindly address your email to career.tz@tigo.co.tz
On the subject line, indicate the role you are applying for (eg. Cyber Security Manager).
Attach your CV in PDF format...
Nina umri wa miaka 20 mkazi wa Dar es Salaam ninatafuta kazi kati ya hizo tajwa hapo juu na uzoefu wa kuendesha magari wa miaka 2 pia nakazi za nyumbani.
Elimu yangu ni form four level pia na driving certificate ya magari madogo
Habari zenuu
Samahani naomba kwa wenye uzoefu na ujuzi, ninataka kufunga security camera nyumbani.
Naomba kujua gharama na aina nzuri kwenye recording na ambayo pia ni rahisi kutumia (kuisoma).
Nataka kufunga maeneo matatu.
Asanteni.
Nikiwa nimechili zangu, kidume Sina hili wala lile maeneo ya Kwa Sadara ghafla anatokea Mzee anae kadiliwa kuwa na miaka zaidi ya 82.
Mzee ni wa makamo ila anaonekama kuwa very upstea kichwani mwake.
Katika mazungumzo yetu Mzee anamsifia Rais wa awamu ya sita Kwa mengi mazuri anayoyafanya...
Wakuu na wataalaamu wa phone security,
Nini mtu afanye ili kuiwekea ulinzi smart phone ili itakapoibiwa ama kupotea aweze kuitrack?
Wezi wanaflash (factory reset) na kubadili IMEI number. IMEI NUMBER inapokuwa changed, habari kwishney, polisi wanakuwa hawana msaada wowote tena.
Je, kuna...
Kwa wale wenye Nia za kuifungua ofisi ambazo zinahitaji network au mifumo ya hospitalini au kufunga camera za usalama kwa majumbani na ofisini au sehem za biashara.... Naomba tuwasiliane nafanya kazi kwa uhakika kabisa.
Sina meng ya kuandika ila mwenywe swali karibu na mwenye kazi karibu...
Ndugu zangu kwa anaejua Taratibu zakuomba kazi kwnye hii kampuni ya GARD SECURITY WORLD mana nimengalia mtandaoni naona kingereza kingi sana afu nchi nyingi nimeshindwa kuelewa, Naomba msaada 0693206150
Wanabodi,
Kwa maslahi ya Taifa,
should we demand more transparency and the right to information kwenye teuzi za key posts ziwe endorsed na Bunge with a security of tenure?.
Should we adopt the American System of Goverment Mawaziri wasiwe wabunge ili wawajibike Bungeni?.
Tangu kutumbuliwa kwa...
Naamini anajua kiiengeleza sasa namuwekea hapa maana yake.
Food security is the measure of the availability of food and individuals' ability to access it. According to the United Nations' Committee on World Food Security, food security is defined as meaning that all people, at all times, have...
We’re JTI, Japan Tobacco International and we believe in freedom. We think that the possibilities are limitless when you’re free to choose. In fact, we’ve spent the last 20 years innovating, creating new and better products for our consumers to choose from. It’s how we’ve grown to be present in...
Rais wa China, Xi Jinping ameahidi kuendelea kumuunga mkono Rais wa Urusi, Vladimir Putin katika masuala ya msingi hasa Uhuru na Usalama.
Kauli hiyo imetolewa baada ya viongozi hao kuzungumza kwa njia ya simu, ikiwa ni mara ya pili kufanya hivyo tangu kuanza kwa vita ya Urusi dhidi ya Ukraine...
Reporting line- Manager; CyberSecurity
Job Summary
Responsible for daily monitoring of the IT Infrastructure using security technical expertise and looking for patterns and potential issues, this includes working in close connection with Senior ICT Management. Focal point for the provision of...
Mwaka 2020 nilishauri serikali juu ya energy security ila haikunielewa.
Energy security ni muhimu sana kwa taifa lolote duniani maana huwezi jua ni wakati gani hali ya usalama wa dunia inaweza kuchafuka.
Na ikichafuka tusidhani kwamba viongozi ndio tutapona, hapana wote tutaathirika.
Kuna...
POST SECURITY GUARDS – 5 POST
POST CATEGORY(S) SECURITY
EMPLOYER Tanzania Ports Authority (TPA)
APPLICATION TIMELINE: 2022-05-02 2022-05-15
JOB SUMMARY NA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i. To conduct physical security and surveillance (security gates, General cargo, Motor vehicle, container etc. ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.