Shikamoo mama Samia. Nimeona uko serious sana na report ya CAG. I love you. Nchi hii imejaa notable crooks. Please deal with them.
Nenda kwenye public institutions and do something. Halmashauri nyingi ni wezi but hali ni worse kwenye public institutions. Unfortunately your CAG doesnt audit all...
Lissu started questioning whereabouts of the President on March 7th 2021. As per the Vice President our President Dr. John Magufuli was hospitalized on 6th March 2021.
This clearly shows Lissu was fed information about the health of our President by his sources which he claims are reliable...
Israel ambayo ili hack kaspersky 2014 na kuwapa taarifa NSA kuhusiana na uvujishwaji wa taarifa unaofanywa na kampuni hio, inasemekana kaspersky ilikuwa ikishirikiana na FSB (KGB zamani) kudukua taarifa mbali mbali za watumiaji, baada ya hapo USA ika ban kaspersky kutumiwa kwenye vitengo vyoote...
As President Bill Clinton mocked the Chinese president Jiang Zemin for his nation’s naivety in attempting to control the internet, the great firewall of China as it was pejoratively known, the crowd joined. At the time, in 2000s, this response was sensible considering how unknown the internet...
Baada ya Kenya kuchaguliwa kujiunga na Security council, Kenya itaanza kuwakilisha Afrika rasmi kwenye security council kuanzia Kesho. Asanteni Tanzania kwa kutuchagua.
https://www.the-star.co.ke/opinion/2020-12-31-kenyas-two-year-tenure-in-united-nations-security-council-commences/...
Habarini wanajamii intel...
Leo nimeona ni vema namimi kutoa contribution yangu kwa idara yetu nyeti ya usalama wa Taifa juu ya usalama kutoka katika mrengo wa kimazingira - Environmental Security
Kabla sijaendelea naomba kudeclare;
*Mimi ni kijana MTANZANIA mzalendo kwa taifa langu.
*Mimi ni...
WARNING: GRAPHIC CONTENT
In a Carrefour supermarket, 40-year João Alberto dies after security agent kneels on his back for four minutes; protests erupt across Brazil
Note from BBT: When I first heard the slogan Black Lives Matter some years ago, one of my first thoughts was, if black lives...
Esteemed Great Thinkers
There is fast shift of the political diplomacy to economic and security diplomacy in teh current era that Tanzania should not grant a room to be aggressively superseded and call it a junk for fear to be blamed.
The country has to vigorously engage in strategic economic...
Engel Statement on Elections in Tanzania
Bronx, NY—Representative Eliot L. Engel, Chairman of the House Committee on Foreign Affairs, today made the following statement:
“It has been tragic to see Tanzania, once a promising democracy, slide into autocracy under John Magufuli’s leadership...
Nimefurahi kusoma taarifa nyingi humu kuhusu "convoy" ya Tundu Lissu inavyoendelea katika mikoa 10 kuzifuata saini za wadhamini ili wampe uhalali wa kuteuliwa kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA....
Safari ilianzia Dodoma mara baada ya kukabidhiwa fomu ya kuomba uteuzi wa ugombea Urais wa...
CT Security ndiyo waliopewa jukumu la kulinda miundombinu ya Mradi wa mabasi ya mwendokasi: Kimara hadi Kivukoni, Morocco hadi Gerezani, Depot yao pale Jangwani na feeder stops kama zile za Shekilango, Kinondoni.
Katika feeder posts sasa hivi kumeshaanza kufunguliwa bolt na nuts zake...
Ndugu zangu,
Rejea kwenye post yangu NATAFUTA KAZI MAJI YAMENIFIKA SHINGONI.
nafanya kazi kwenye kampuni moja ya ulinzi GARDAWORLD nalipwa 240,000/= kwa mwezi hapo makato yote yamesha katwa. Japo nina diploma ya uandishi wa habari, nimetafuta kazi inayoendana na elimu yangu takribani miaka...
Kuna degree Tanzania hamna ila zina soko sana duniani, vijana wa PCM zinawafaa.
Wazazi, mkiwa na pesa na mkiwa na watoto wazuri waliofaulu vizuri PCM pelekeni Ulaya au Marekani wakasome degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering.
Ni baadhi ya hot cake degrees, dunia nzima inawataka.
Kenya mara nyingi imejinasibu kwa maneno na vitendo kuwa ni ndugu zetu.
Rais Kenyatta ameutamka u ndugu huo mara kadhaa ikiwamo katika sekeseke la mipaka yetu inayoendelea kutatizika na virusi vya Corona.
Pamoja na matamko, rais Kenyatta alirejesha marundo ya pesa na dhahabu yaliyokuwa...
South Africa is more reasonable than our immediate southern neighbours, wanajua the most important and economically strong country in East Africa as they confess; strategic for them and for the good of Africa. Hawana wivu, forward looking not backward thinking and negative like. Wanajijua...
Habarini za muda huu, naomba msaada wenu, kwenye ili, nina HDD (Hard Disk Drive) niliitaji kuiwekea password basi siku ya ijumaa saa 3 asubuhi nikafanya ilo zoezi nilifata procedure zote ila ilipoanza kufanya zoezi la kusoma percentage baada ya ku-react password, ilisoma percentage siku nzima...
Business Development Executive Security Services
Are you excited by the benefits that technology enabled safety & security solutions can offer customers?
Do you have proven success in selling services that deliver value & effectiveness & have a pipeline to convert?
Interested in developing...
The New Humanitarian
...Amsterdam
The New Humanitarian spoke to five Tanzania-based doctors and medical specialists about the response, either by telephone or email. All only agreed to speak on condition of anonymity, such was their fear of reprisals from a government whose human rights record...
Position: Senior Manager; Forensic & Security
Deadline: 2020-05-21
Job Purpose
To develop and implement anti-fraud policies and procedures to ensure reduction of fraud cases; Ensuring that all fraud related occurrences assigned for further investigation are quickly and thoroughly investigated...
Habari Wadau wa Jamii Forum,
Nimeanzisha biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu.
Kama mnavofahamu, biashara katika sector ya usafiri imepamba moto nchini.Lakini palipo na biashara hapakosi changamoto. Wizi wa vyombo vya usafiri kama Pikipiki, Bajaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.