kayanda01
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,086
- 913
Wakuu na wataalaamu wa phone security,
Nini mtu afanye ili kuiwekea ulinzi smart phone ili itakapoibiwa ama kupotea aweze kuitrack?
Wezi wanaflash (factory reset) na kubadili IMEI number. IMEI NUMBER inapokuwa changed, habari kwishney, polisi wanakuwa hawana msaada wowote tena.
Je, kuna tracking app yenye uwezo wa kutoathirika na IMEI number change or hard reset? Mfano hizi simu za android family kama vile INFINIX, etc
Tupeane maujanja wakuu. Wizi wa simu unashamiri!! hasara inakuwa kubwa sana kwa wahanga.
Nini mtu afanye ili kuiwekea ulinzi smart phone ili itakapoibiwa ama kupotea aweze kuitrack?
Wezi wanaflash (factory reset) na kubadili IMEI number. IMEI NUMBER inapokuwa changed, habari kwishney, polisi wanakuwa hawana msaada wowote tena.
Je, kuna tracking app yenye uwezo wa kutoathirika na IMEI number change or hard reset? Mfano hizi simu za android family kama vile INFINIX, etc
Tupeane maujanja wakuu. Wizi wa simu unashamiri!! hasara inakuwa kubwa sana kwa wahanga.