Natafuta kazi ya udereva wa magari madogo, security na house work

Black fighter

New Member
Sep 5, 2021
2
2
Nina umri wa miaka 20 mkazi wa Dar es Salaam ninatafuta kazi kati ya hizo tajwa hapo juu na uzoefu wa kuendesha magari wa miaka 2 pia nakazi za nyumbani.

Elimu yangu ni form four level pia na driving certificate ya magari madogo
 
IMG_20230503_141010_410.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom