CT Security ndiyo waliopewa jukumu la kulinda miundombinu ya Mradi wa mabasi ya mwendokasi: Kimara hadi Kivukoni, Morocco hadi Gerezani, Depot yao pale Jangwani na feeder stops kama zile za Shekilango, Kinondoni.
Katika feeder posts sasa hivi kumeshaanza kufunguliwa bolt na nuts zake...
Ndugu zangu,
Rejea kwenye post yangu NATAFUTA KAZI MAJI YAMENIFIKA SHINGONI.
nafanya kazi kwenye kampuni moja ya ulinzi GARDAWORLD nalipwa 240,000/= kwa mwezi hapo makato yote yamesha katwa. Japo nina diploma ya uandishi wa habari, nimetafuta kazi inayoendana na elimu yangu takribani miaka...
Kuna degree Tanzania hamna ila zina soko sana duniani, vijana wa PCM zinawafaa.
Wazazi, mkiwa na pesa na mkiwa na watoto wazuri waliofaulu vizuri PCM pelekeni Ulaya au Marekani wakasome degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering.
Ni baadhi ya hot cake degrees, dunia nzima inawataka.
Kenya mara nyingi imejinasibu kwa maneno na vitendo kuwa ni ndugu zetu.
Rais Kenyatta ameutamka u ndugu huo mara kadhaa ikiwamo katika sekeseke la mipaka yetu inayoendelea kutatizika na virusi vya Corona.
Pamoja na matamko, rais Kenyatta alirejesha marundo ya pesa na dhahabu yaliyokuwa...
South Africa is more reasonable than our immediate southern neighbours, wanajua the most important and economically strong country in East Africa as they confess; strategic for them and for the good of Africa. Hawana wivu, forward looking not backward thinking and negative like. Wanajijua...
Habarini za muda huu, naomba msaada wenu, kwenye ili, nina HDD (Hard Disk Drive) niliitaji kuiwekea password basi siku ya ijumaa saa 3 asubuhi nikafanya ilo zoezi nilifata procedure zote ila ilipoanza kufanya zoezi la kusoma percentage baada ya ku-react password, ilisoma percentage siku nzima...
Business Development Executive Security Services
Are you excited by the benefits that technology enabled safety & security solutions can offer customers?
Do you have proven success in selling services that deliver value & effectiveness & have a pipeline to convert?
Interested in developing...
The New Humanitarian
...Amsterdam
The New Humanitarian spoke to five Tanzania-based doctors and medical specialists about the response, either by telephone or email. All only agreed to speak on condition of anonymity, such was their fear of reprisals from a government whose human rights record...
Position: Senior Manager; Forensic & Security
Deadline: 2020-05-21
Job Purpose
To develop and implement anti-fraud policies and procedures to ensure reduction of fraud cases; Ensuring that all fraud related occurrences assigned for further investigation are quickly and thoroughly investigated...
Habari Wadau wa Jamii Forum,
Nimeanzisha biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu.
Kama mnavofahamu, biashara katika sector ya usafiri imepamba moto nchini.Lakini palipo na biashara hapakosi changamoto. Wizi wa vyombo vya usafiri kama Pikipiki, Bajaji...
Kulingana na yanayotokea kwa watu kukosa mishahara mfano shule binafsi kama tusiime, st Anne Marie na zingine nyingi ilhali watumishi hao wanachangia vizuri tu nssf. Serikali aioni haja ya kuruhusu watu wachukue sehemu ya asilimia 30 tu ya mafao yao ili kujilinda kipindi hiki cha janga la...
Sitakupa maelezo marefu sana ya kupoteza muda wako, ila umakini na faragha ni muhimu sana nyakati hizi za kimageuzi ya mitandao na ukuaji wa teknolojia.
Kwa watumiaji wa vifaa ya kimtandao kama simu na kompyuta iwe ya mezani au mipakato jaribuni sana kuwa na umakini ikiwa utaacha kutumia...
Posting Country: Tanzania, United Republic of
Full Time / Part Time: Full Time
Contract Type: Permanent
Joining Vodacom is more than a job, what we do matters. We don’t just carry minutes, texts and data – we carry people’s lives. And that’s a huge responsibility. If you think for a minute...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 43 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.
Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake...
TEHRAN, Iran (AP) — Masked gunmen on Wednesday ambushed and killed the local commander of a paramilitary security force in southwestern Iran, an associate of Iran's top general recently killed in an American drone strike in Baghdad, the official IRNA news agency reported.
The slain commander...
The National Police Service says it will not provide security detail to VIPs who are involved or suspected to be involved in crime.
In a statement issued on Monday, Inspector General of Police Hillary Mutyambai said VIPs charged over criminal offences will have their security stripped until...
At least one person has been killed and five wounded in a shooting at the headquarters of Russia's Federal Security Service (FSB) in central Moscow, Russian media say.
A gunman who opened fire with an automatic weapon at the entrance of the building was killed by an armed officer, Interfax news...
Salam wana JF.
Leo ningependa tujadili lawama anazopewa CDF General Mabeyo baada ya kuonekana kama ameleeza mengi yaliyo paswa kuwa siri kuhusu ujenzi wa Makao Makuu Ya Jeshi la Wnanchi (JWTZ) kule Dodoma.
Katika kutoa maelezo yake ilionekana kama amefichua sehemu za kimkakati ambazo zitakuwa...
Company: (FAO)
Location: Tanzania
State: Dar Es Salaam Jobs
Job type: Full-Time
Job category: Healthcare/Medical Jobs in Tanzania
Closure Date: 17/Dec/2019, 1:59:00 AM
Organizational Unit: FRURT
Job Type: Non-staff opportunities
Type of Requisition: Consultant / PSA (Personal Services...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.