Following his arrest for running toward President William Ruto on February 12, 2026, during the Nyota Launching Program in Wajir County, Ahmed Mohamed's family has spoken out.
His sister claims that on Friday, February 13, one day after the incident, Ahmed was taken from his house and...
Natumai hamjambo, kama kichwa cha habari kinavyojieleza Nina uzoefu wa kutosha na hii kazi nilishafanya serena hoteli, kiwandani na airport termonal 3 kupitia gardaworld
kwa yeyote atakayeweza kunisaidia ani PM tafadhali
Kila nikifikiria hili swala la Maduro kunyakuliwa usiku wa maanane ikulu ,basi bila shaka alikuwa hawaamini "My fellow county men" mpaka akaamua kuwakodisha wa Cuba kama Walinzi wake.
Sasa wa Venezuela wenzake wakaamua "kumuuza" kwa bei ya jioni kabisa kwa Baba Baron 😂😂😂.
Natumaini hamjambo, nami pia sijambo nimefanya kazi ya security kwa miaka 5 maeneo mbalimbali ikiwemo serena hoteli mwaka 1, viwandani miaka miwili na airport terminal 3 mwaka 1, na nimefanya kazi hayo maeneo kupitia GARDAWORLD hivyo nina uzoefu wa kutosha
kama kuna yeyote anaweza kunisaidia...
Taarifa za uhakika kabisa za kijasusi zilizopo ni kwamba jeshi la polisi chini ya kamanda Mafwele wapo kazini kuwatafuta, kuwabaini na kuwatambua wale wote walohusika na kuandaa mikutano ya kupanga maandamano ambayo kwa namna fulani yamefanikiwa kufikisha ujumbe.
Ujumbe wa maandamano hayo...
We’re looking for qualified and passionate Assistant Team Lead – IT (Network and System Security) – (Re-advertised)
Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Are you a tech-savvy individual with a passion for making a difference? Are you eager to bring your IT...
Kama hujatembea mataifa ya wenzetu unaweza usielewe hii kero niisemayo hapa.
Ukweli ni kwamba barabara zetu zinawekewa matuta ya kikatili na ya hovyo sana, licha ya haya matuta kuchangia uharibifu wa gari lkn pia husababisha kero sana kwa watumiaji wa barabara.
Hivi kwa technology hii...
Tumeisha toa amri Israel lazima atiwe adabu na nchi yeyote inayo ingilia tutaishambulia
https://youtu.be/ij4yaxMawng?si=Pepu-im6QwJ48gLZ
Vitu vinaondoka mda huu
https://youtu.be/mLMpR_BvtqQ?si=ZW7iApOAlTCeDvgL
Wadau hamjamboni nyote, bTaarifa muhimu Baraza la mawaziri la usalama Israel kukutana kwenye chumba maalumu chini ya ardh underground bunker saa 10 jioni, taarifa kamili hapo chini kwa kimombo, By Times of Israel The security cabinet is set to meet in an underground bunker tonight at 10...
Ndugu wapenda technologia….
Hii yote inahusu simu yangu ya iphone
Leo nimepata pigo kubwa la security Bleach KWA KUKUSUDIA NA PASIPO KUKUSUDIA
Hivi juzi kati nimenunua simu nyingine Iphone 11 kutoka ka mtu naefahamiana nae na mm nililua natumia iphone X max
Sasa changamoto ikawa kwene...
Wakuu na wataalaamu wa mifumo ya ulinzi wa magari, title yajieleza.
Nahitaji kufunga ''Alarm System''. Pia nahitaji kufunga "Kill Switch" ili kuongeza security levels kwenye gari.
Kill Switch ambayo inazuia kabisa gari kuwaka.
Je, kuna mfumo ambao ni Two in One, yaani alarm + kill switch?
If...
Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam unawataka raia wa Marekani kuepuka kusafiri kwenda visiwani na maeneo ya pwani kusini mwa Kisiju, Tanzania. Wafanyakazi wa serikali ya Marekani wamezuiwa kusafiri katika maeneo haya bila kibali cha awali
========================
Location: Islands and...
Rudisha heshima na adabu nyumbani kwako. Watu waache kukaa kizembezembe
Leo tunakuletea offer kabambe ya mwaka mpya
Camera ni elfu 30 ukichukua anzia pc 3. PC moja ni elfu 30
Ni rahisi kutumia na unaiweka sehemu yoyote kama Ile bulb ya kawaida
Unaweza kuconnect kwenye simu zaidi ya moja
Ina mic...
Uongozi wa Kampuni ya China Tanzania Security umetoa ufafanuzi kuhusu madai ya Mwanachana wa JamiiForums.com aliyeandika kuwa wafanyakazi wa ofisi hiyo ambao ni Walinzi wanaosimamia Vituo kadhaa vya Usafiri wa Mabasi ya Mwendokasi hawajalipwa mishahara kwa muda wa miezi mitatu na kuwa wakidai...
Habari zenu ndugu polen na majukumu mimi niliuw na penda kujua kati ya software developer na Cyber security ipi inaweza kukutengenezea utajiri mkubwa kwa Tanzania hapa
bora
cyber
cyber security
developer
ipi
kati
katika
kujiajiri
kutengeneza
kutengeneza pesa
nyingi
pesa
pesa nyingi
security
software
software developer
Habari wakuu,
Ni jambo la kushangaza mtu anahack website yetu anaanza kufuta vitu vyetu.
Sio uungwana kabisa lakini tuna mshukuru sana ametuongezea uwezo wa ziada na leo tunatangaza kwamba tutaanza kutoa huduma ya cyber security.
Utawala mpya wa Syria ulio chini ya kikundi cha kigaidi cha kiislamu chenye itikadi kali kijulikanacho kama Hayat Tahrir al-Sham (HTS), unaoongozwa na gaidi kiongozi Abu Mohammed al-Jawlani, umeiandikia barua yenye malalamiko na manung'uniko mengi Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN...
Imezoeleka Kwa wengi kutumia Namba ya simu kama 2FA.
Sasa tukija kuangalia usalama kawaida Huwa ni ndogo kwasabu zifuatazo.
Email inbox na outbox hazijifuti kama ilivyo kwenye WhatsApp.
Vyombo vya usalama vinaweza kupewa access ya jumbe fupi au calls unazotumiwa kwenye namba Yako ya simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.