DuhKwa nini unataka kufunga hizo camera?
Zilizoondolewa VIP house area D, Dodoma. (kwa LISU), ni nzuri na rahisi kuzihamisha.Habari zenuu
Samahani naomba kwa wenye uzoefu na ujuzi....ninataka kufunga security camera nyumbani.
Naomba kujua gharama na aina nzuri kwenye recording na ambayo pia ni rahisi kutumia (kuisoma).
Nataka kufunga maeneo matatu.
Asanteni.
Weka mabaunsa tu hizo camera hamna lolote Utapigwa hela na wezi watakuibia na hautowaona kwenye camera 😂Kwa usalama wangu binafsi.
Unafunga zile za ndani sebuleni, vyumbani etc ama zile za Nje?Habari zenuu
Samahani naomba kwa wenye uzoefu na ujuzi, ninataka kufunga security camera nyumbani.
Naomba kujua gharama na aina nzuri kwenye recording na ambayo pia ni rahisi kutumia (kuisoma).
Nataka kufunga maeneo matatu.
Asanteni.
Na uncle piaKwa usalama wangu binafsi.
Weka mawasiliano MkuuHIK Vision ndo zatumika sana.
Gharama za kufunga Camera 4 huwa ni Chini ya 1,000,000
Hapo ni gharama za Kamera, Conduit, Waya etc
Kamera 8 huwa ni chini ya 2mil
Kamera 16 ni 3mil
Hapo wamejumuisha gharama zote, unapewa na monitor, router utanunua wewe kama utataka remote view
Hizi bei mkuu umezizidisha kidogo, zipo chini ya hapo.HIK Vision ndo zatumika sana.
Gharama za kufunga Camera 4 huwa ni Chini ya 1,000,000
Hapo ni gharama za Kamera, Conduit, Waya etc
Kamera 8 huwa ni chini ya 2mil
Kamera 16 ni 3mil
Hapo wamejumuisha gharama zote, unapewa na monitor, router utanunua wewe kama utataka remote view
Sawa mkuuHizi bei mkuu umezizidisha kidogo, zipo chini ya hapo.
Nimefunga HIK Vision nyumbani, DVR ya kubeba kamera 8 lakini niliweka kamera 6, ngarama yake ilikuwa jumla ni kama laki 9 na ushee. Ilibidi kununua monitor, na router pia ambayo ilifanya gharama jumla kuwa kama milioni 1 na labda laki 1 au 2.
Nje ya mada: Nimenasa matukio zaidi ya manne ya wizi. Nimeibiwa mara kadhaa. Nilitumia muda mrefu kumsaka kibaka mmoja aliyeiba vitu vingi ndani mpaka nikamkamata. Nimempeleka polisi ili nipate msaada wa kurejesha vitu alivyoiba vya gharama ya zaidi ya milioni 2 lakini nilipigwa matukio huko na maaskari, mwizi akapelekwa mahakamani nikapigwa matukio mahakamani mwizi akaachiwa nikabaki nimeduwaa tu na video zangu za mwizi akiniibia. Sitaki kusema mengi sana lakini kiujumla kamera zitakusaidia mtoa mada ila baada ya tukio kuwa makini na sheria. Kama kuna uwezekano wa kutatua matatizo nje ya vyombo vya sheria fanya hivyo, ikishindikana kabisa ndipo uende huko.
Mkuu pole sana ndio nchi yetu ilivyo tuko kama mazombi, nadhani ndio maana inaitwa bongo, bongo lala, ingekuwa kwa wenzetu huko hadi fidia ungelipwa ila kibongo bongo wee ndio inabidi umlipe huyo kibaka. Usishangae maaskari nao wanakuangalia kwa jicho la husda kwamba huyu boya hadi ana cctv atakuwa wakishua huyu inabidi tugawane hizo njuruku.Hizi bei mkuu umezizidisha kidogo, zipo chini ya hapo.
Nimefunga HIK Vision nyumbani, DVR ya kubeba kamera 8 lakini niliweka kamera 6, ngarama yake ilikuwa jumla ni kama laki 9 na ushee. Ilibidi kununua monitor, na router pia ambayo ilifanya gharama jumla kuwa kama milioni 1 na labda laki 1 au 2.
Nimeongeza kamera moja ya ndani juzi kwa kama elfu 60 tu.
DVR yenye kubeba kamera chache ni gharama nafuu zaidi ya hiyo.
Nje ya mada: Nimenasa matukio zaidi ya manne ya wizi. Nimeibiwa mara kadhaa. Nilitumia muda mrefu kumsaka kibaka mmoja aliyeiba vitu vingi ndani mpaka nikamkamata. Nimempeleka polisi ili nipate msaada wa kurejesha vitu alivyoiba vya gharama ya zaidi ya milioni 2 lakini nilipigwa matukio huko na maaskari, mwizi akapelekwa mahakamani nikapigwa matukio mahakamani mwizi akaachiwa nikabaki nimeduwaa tu na video zangu za mwizi akiniibia. Sitaki kusema mengi sana lakini kiujumla kamera zitakusaidia mtoa mada ila baada ya tukio kuwa makini na sheria. Kama kuna uwezekano wa kutatua matatizo nje ya vyombo vya sheria fanya hivyo, ikishindikana kabisa ndipo uende huko.
Tafuta za bulb kazi kwisha, 360 degrees panorama view, mtu anadhan bulb kumbe camera. Af ni rahisi inaconnect na app kama unataka kustream au unaweka sd card inakua inarecord. kkoo nadhan ni 85k kwa pieceHabari zenuu
Samahani naomba kwa wenye uzoefu na ujuzi, ninataka kufunga security camera nyumbani.
Naomba kujua gharama na aina nzuri kwenye recording na ambayo pia ni rahisi kutumia (kuisoma).
Nataka kufunga maeneo matatu.
Asanteni.
haaahaaaa story yako ya mwisho imenikumbusha jamaa fln hv hapahapa bongo aliibiwa ila asbh akamuona mwizi kwa cctv, kilichofuata jamaa alipanda gari yake akaenda vijiweni alipompata huyo teja alimpa kipigo palepale cha mbwa mwizi. Akamaliza akaondoka zake, nadhan hakutaka hayo mambo ya sheriaHizi bei mkuu umezizidisha kidogo, zipo chini ya hapo.
Nimefunga HIK Vision nyumbani, DVR ya kubeba kamera 8 lakini niliweka kamera 6, ngarama yake ilikuwa jumla ni kama laki 9 na ushee. Ilibidi kununua monitor, na router pia ambayo ilifanya gharama jumla kuwa kama milioni 1 na labda laki 1 au 2.
Nimeongeza kamera moja ya ndani juzi kwa kama elfu 60 tu.
DVR yenye kubeba kamera chache ni gharama nafuu zaidi ya hiyo.
Nje ya mada: Nimenasa matukio zaidi ya manne ya wizi. Nimeibiwa mara kadhaa. Nilitumia muda mrefu kumsaka kibaka mmoja aliyeiba vitu vingi ndani mpaka nikamkamata. Nimempeleka polisi ili nipate msaada wa kurejesha vitu alivyoiba vya gharama ya zaidi ya milioni 2 lakini nilipigwa matukio huko na maaskari, mwizi akapelekwa mahakamani nikapigwa matukio mahakamani mwizi akaachiwa nikabaki nimeduwaa tu na video zangu za mwizi akiniibia. Sitaki kusema mengi sana lakini kiujumla kamera zitakusaidia mtoa mada ila baada ya tukio kuwa makini na sheria. Kama kuna uwezekano wa kutatua matatizo nje ya vyombo vya sheria fanya hivyo, ikishindikana kabisa ndipo uende huko.
Namuelewa sana, binafsi baada ya niliyopitia sidhani kama nitapitia tena mambo ya kisheria kwa namna hiyo kama nilivyopita mwanzo.haaahaaaa story yako ya mwisho imenikumbusha jamaa fln hv hapahapa bongo aliibiwa ila asbh akamuona mwizi kwa cctv, kilichofuata jamaa alipanda gari yake akaenda vijiweni alipompata huyo teja alimpa kipigo palepale cha mbwa mwizi. Akamaliza akaondoka zake, nadhan hakutaka hayo mambo ya sheria
Umenunua kamera HD za elfu 28 1MP hizo zipo camera za kisasa full color quality hali ya juu tazama hiyo picha hapo ni 8MPHizi bei mkuu umezizidisha kidogo, zipo chini ya hapo.
Nimefunga HIK Vision nyumbani, DVR ya kubeba kamera 8 lakini niliweka kamera 6, ngarama yake ilikuwa jumla ni kama laki 9 na ushee. Ilibidi kununua monitor, na router pia ambayo ilifanya gharama jumla kuwa kama milioni 1 na labda laki 1 au 2.
Nimeongeza kamera moja ya ndani juzi kwa kama elfu 60 tu.
DVR yenye kubeba kamera chache ni gharama nafuu zaidi ya hiyo.
Nje ya mada: Nimenasa matukio zaidi ya manne ya wizi. Nimeibiwa mara kadhaa. Nilitumia muda mrefu kumsaka kibaka mmoja aliyeiba vitu vingi ndani mpaka nikamkamata. Nimempeleka polisi ili nipate msaada wa kurejesha vitu alivyoiba vya gharama ya zaidi ya milioni 2 lakini nilipigwa matukio huko na maaskari, mwizi akapelekwa mahakamani nikapigwa matukio mahakamani mwizi akaachiwa nikabaki nimeduwaa tu na video zangu za mwizi akiniibia. Sitaki kusema mengi sana lakini kiujumla kamera zitakusaidia mtoa mada ila baada ya tukio kuwa makini na sheria. Kama kuna uwezekano wa kutatua matatizo nje ya vyombo vya sheria fanya hivyo, ikishindikana kabisa ndipo uende huko.
Unaishi sehemu gani? Na unataka kufunga siku gani? Ni PM kwa namba yako tuyajenge.Habari zenuu
Samahani naomba kwa wenye uzoefu na ujuzi, ninataka kufunga security camera nyumbani.
Naomba kujua gharama na aina nzuri kwenye recording na ambayo pia ni rahisi kutumia (kuisoma).
Nataka kufunga maeneo matatu.
Asanteni.