Oh Pacome,pole sana

Oh Pacome,pole sana

Kaumizwa mnoooo aiseeee .
 

Attachments

  • IMG-20260630-WA0048.jpg
    IMG-20260630-WA0048.jpg
    22.5 KB · Views: 13
Ulaya wanakwambia kuvunjika kule kunatibika na unarudi kucheza fresh tu, ila matibabu sahihi yanaanzia kulekule uwanjani, mkikosea kuuweka sawa pale uwanjani kipindi anatolewa kwa machele basi ndio bye bye kwenye soka.
 
Kwa matibabu sahihi anapona vinginevyo uwezekano wa kurejea uwanjani kusakata kabumbu ni wa mashaka
 
Huku usukumani mtu anatibiwa kienyeji mwezi mumoja tu anarudi hali ya kawaida na shughuri zake zinaendelea
 
Back
Top Bottom