fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,539
- 8,991
Pacome kaumizwa,zile picha zinaashiria kitu kibaya,yule mchezaji mwenyewe aliyemuumiza alificha uso wake kwa huzuni na aibu
Kama hiyo x-ray ni ya mguu wake basi hata msimu ujao wote hatocheza.Kaumizwa mnoooo aiseeee .
Akatibiwe alikotibiwa Jamali Musiala na Luke Shaw, fasta tu anarejea mchezoni.Kama hiyo x-ray ni ya mguu wake basi hata msimu ujao wote hatocheza.
Na iwe hivyo, Mungu amjaalie.Atapata nafuu kabla ya ligi kurejea