Arusha.
Kumetokea kamata kamata ya watu isipokua wazee, wenye ujauzito, vilema, na watoto u-18, wakacheze mgambo kwa lazima huko namanga mpaka wa tz na ke.
Je, ni sahihi kwenye hili?
Je, ni kwa Tz nzima? kama ndio je sehemu zingine wameanza au muda bado?
Je, mamlaka haya ni kutokea wapi na kwa...