Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,288
- 9,923
Yanga leo inakwenda kuweka historia nyingene, Futilia live hapa
Ni mKataba wenye thamani ya tshs bilioni 12 na Milioni 300 kwa miaka 3, Kila Mwaka Yanga itakuwa inapata bilioni nne, pia yanga akichukuwa ligi milioni 150, na ikifika Fainali FA itapata Tshs Milioni 75.
---
Mabingwa wa kihistoria na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Dar Young Africans (Yanga) leo wamesaini mkataba mpya wa udhamini na kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sport Pesa mkataba ambao unaweza kuwa wenye thamani zaidi kwa timu za Ligi Kuu nchini Tanzania.
Mkataba huo wenye thamani ya Shilingi Bilioni 12.335 wa miaka mitatu unaifanya SportPesa kuwa mdhamini mkuu wa Yanga kuanzia msimu mpya unaoanza wa Ligi.
Katika mkataba mpya kwa Mwaka Yanga watachota zaidi ya Shilingi Bilioni 4 tofauti na mkataba uliopita ambapo Yanga walikuwa wanapata Bilioni 1 pekee kwa Mwaka, hii ina maana hili ni ongezeko la zaidi ya Bilioni 3 kwa mwaka.
Maboresho mengine katika mkataba huo ni kuwa "Bonus" ya Ubingwa wa Ligi Kuu imeongezeka kutoka Milioni 100 hadi 150.
Huku Bonus ya kombe la FA ambayo haikuwepo hapo awai ikiongezwa ambapo Yanga watapata Milioni 75 kwa kufika hatua ya Fainali.
Ni mKataba wenye thamani ya tshs bilioni 12 na Milioni 300 kwa miaka 3, Kila Mwaka Yanga itakuwa inapata bilioni nne, pia yanga akichukuwa ligi milioni 150, na ikifika Fainali FA itapata Tshs Milioni 75.
---
Mkataba huo wenye thamani ya Shilingi Bilioni 12.335 wa miaka mitatu unaifanya SportPesa kuwa mdhamini mkuu wa Yanga kuanzia msimu mpya unaoanza wa Ligi.
Katika mkataba mpya kwa Mwaka Yanga watachota zaidi ya Shilingi Bilioni 4 tofauti na mkataba uliopita ambapo Yanga walikuwa wanapata Bilioni 1 pekee kwa Mwaka, hii ina maana hili ni ongezeko la zaidi ya Bilioni 3 kwa mwaka.
Maboresho mengine katika mkataba huo ni kuwa "Bonus" ya Ubingwa wa Ligi Kuu imeongezeka kutoka Milioni 100 hadi 150.
Huku Bonus ya kombe la FA ambayo haikuwepo hapo awai ikiongezwa ambapo Yanga watapata Milioni 75 kwa kufika hatua ya Fainali.