Ni sahihi mkeo kukutumia text kama hii?

Ni sahihi mkeo kukutumia text kama hii?

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
13,960
Reaction score
26,135
Kwema wakuu?

Kuna jamaa angu tuko nae hapa kwa mama B grocery tunapiga vyombo katumiwa na mkewe hii text. Kaniomba ushauri amjibu nini mkewe.

"Najisikia kuchoka nahitaji kupumzika, uwe unatoka na funguo kupunguza usumbufu"

Ni sahihi mkewe kumtumia huu ujumbe?
 
Jamaa anarudi ndani saa sita usiku, anamuamsha mke wake ampe chakula Cha mezani na ngono.Mwanamke naye hataghairi lazima atafanya Kama alivyoagizwa.

Kuna ndoa za watu huko nje Ni full maghilibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom