sabaya

Sabaya is a small town in the Bolivian Oruro Department. In 2001 it had a population of 573 inhabitants in 2001. Sabaya is the administrative center of the Sabaya Province and the Sabaya Municipality alike. It is located 200 km south-west of Oruro, the capital of the department. It is situated at 3,698 m above sea level in the valley of the Sabaya River on the eastern slopes of Pumari (4,787 m). Salar de Coipasa lies 25 km south-east of Sabaya, and the stratovolcano Tata Sabaya (5,430 m) is situated 20 km south-west of Sabaya.

View More On Wikipedia.org
  1. Ndagullachrles

    Sabaya katika mchuano mkali na mawakili wa Serikali

    Mawakili wanaomwakilisha aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, Jana walichuana vikali na mawakili wa upande wa Jamhuri wakati wa usikilizwaji wa rufaa ya kupinga Sabaya kuachiliwa huru iliyokatwa na upande wa Jamhuri. Sabaya na wenzake walihukumiwa kifungo Cha miaka 30 jela na...
  2. BARD AI

    Rufaa ya DPP kupinga kuachiwa huru kwa Sabaya na wenzake kusikilizwa leo

    Mahakama ya Rufani leo Novemba mosi, 2023 imepanga kusikiliza rufaa ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini, (DPP) dhidi ya aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili. Katika rufaa hiyo Jamhuri inapinga hukumu ya Mei 8, 2022 iliyotolewa na Mahakama Kuu Kanda ya Arusha...
  3. Erythrocyte

    Rufaa ya DPP kupinga kuachiwa huru kwa Sabaya na wenzake kusikilizwa leo

    Rufaa ya DPP dhidi ya Ole Sabaya , ya kupinga kuachiwa huru inaanza kusikilizwa leo . Mitaani huwa tunasema hivi , " HAIJAISHA MPAKA IISHE " --- Mahakama ya Rufani leo Novemba mosi, 2023 imepanga kusikiliza rufaa ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini, (DPP) dhidi ya aliyekuwa mkuu wa wilaya ya...
  4. Erythrocyte

    Je, Sabaya naye kurejeshwa?

    Baada ya kumrejesha Makonda , Dr Hangaya akitetea uamuzi wake huo alisema kwamba , Makonda hakuwahi kuikosea ccm , " mligombana wenyewe kwa wenyewe huko " Sasa kwa vile Sabaya naye hakuwahi kugombana na ccm , bali aligombana na aliowateka kwa mtutu wa bunduki , huku akiweka namba za kizushi za...
  5. Meneja Wa Makampuni

    Tukiwarudisha akina Makonda, Sabaya, na Happy chamani siasa inakwenda kuwa tamu kuliko ligi ya NBC

    Kuwarejesha akina Makonda, Sabaya na Happy kwenye chama cha CCM kunaweza kubadilisha mwelekeo wa siasa nchini. Historia inatufundisha mengi kuhusu nguvu ya umoja katika kufanikisha malengo makubwa. Wakati mwingine, inachukua uamuzi wa busara na mageuzi ya kimkakati kuimarisha msimamo wa chama...
  6. Mwande na Mndewa

    Watu wanne wenye uwezo wa kuikabili Chadema hadi ikaomba poo,ni Makonda,Nchimbi,Happi na Sabaya.

    Vyuma vyote vilivyotengenezwa na Shujaa Magufuli vinarudi ulingoni kuongoza jahazi kuelekea Uchaguzi mkuu wa 2025,tuanze na the right hand man at the right time and place,jiwe walilolikataa waashi litafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni,Safari imeanza. Hatimae yametimia,upele umepata...
  7. M

    Hivi Kesi ya Sabaya ilifikia wapi. Bado Mahabusu au huru

    Sijasikia kwa muda muendelezo wa kesi ya huyu mwamba. Je alishamalizana na Mahakama au bado. Ushauri wangu kwake kama atakuwa ameshamalizana na Mhimili huo wa haki na endapo akiwa ameachiwa basi jambo la kwanza atenge muda wa kupiga goti na kurarua mavazi yake kujutia dhambi alizotendea watu...
  8. Wadiz

    Mwenye taarifa mpya alipo ndugu Lengai Sabaya kwa sasa atujuze

    Habari! Naomba yeyote mwenye update za ndugu yetu Kamanda mzalendo Lengai Ole Sabaya alipo na afya yake atujuze tafadhari. Shukrani 🙏🙏🙏 Wadiz
  9. MamaSamia2025

    Sabaya atawafaa CHADEMA Ubunge Jimbo la Arumeru Magharibi

    Natumaini mko wazima. Leo nimeona nitoe ushauri wa kitaalamu kwa chama kikuu cha upinzani CHADEMA. Kwenye siasa kinachoonyesha ukubwa wa chama ni namba kwa maana ya idadi ya wanachama, wabunge, madiwani na viongozi wengine waliopatikana kupitia chaguzi mbalimbali. CHADEMA iko vizuri kwa idadi...
  10. pantheraleo

    Sabaya amekiri makosa yote yaliyokuwa yanamkabili na Uhujumu Uchumi. Walionyanyaswa na Sabaya waende wapi Kushitaki?

    Anaandika Malisa GJ Sabaya amekiri makosa yote yaliyokua yanamkabili. Uhujumu uchumi ameomba "plea bargaining" na ametakiwa kulipa faini ya milioni 5. Yani fedha zote alizodhulumu kwa wafanyabiashara, watu binafsi na taasisi, faini yake ni milioni 5 tu. Makosa mengine Mahakama imempata na hatia...
  11. Idugunde

    Tundu Lissu: Lengai Ole Sabaya sio mkosaji wa kisiasa, Sabaya ni jambazi

    "Lengai Ole Sabaya sio mkosaji wa kisiasa, Sabaya ni jambazi, na amehukumiwa kwa ujambazi. Angeshtakiwa kwa yote ambayo aliyoyafanya na ambayo tunayafahamu angekaa gerezani maisha yake yote" TunduALissu,
  12. Mpinzire

    Wakili Mahuna: Sabaya hajafungwa kifungo cha nje, ila Kapewa muda wa uangalizi wa mwaka mmoja

    Wakili wa Sabaya, Mh Mahuna amesema Sabaya alikiri kosa la uhujumu uchumi na hivo kwa mujibu wa makubaliano ya Plea Bargaining Sabaya anapaswa kumlipa Alex Swai kwa niaba ya mdogo wake Tsh 5,000,000/=. Mara baada ya hayo kesi ilienda kufail tena kwa makosa mawili ambayo ni "Kujitwawalia...
  13. D

    Lengai Ole Sabaya hawezi kugombea 2024 wala 2025, sababu hii hapa

    Nimesoma bandiko la mtu humu ndani akitoa wito kwa mfungwa Ole Sabaya akagombee Ubunge Jimbo la Hai. Nimweka sawa mtoa wito na wengine wanaofikiria hivyo kwamba Sabaya hakuachiwa huru, hapana. Sabaya amekutwa na hatia na amehurumiwa kwenda jela mwaka mmoja isipokuwa ni kifungo cha nje! Sheria...
  14. Stroke

    Asante sana Rais Samia kwa kumuachia Sabaya.

    Kwakweli leo nimefurahishwa na Serikali ya awamu ya sita. Wapo makini sana na mambo yao. Kudos.
  15. chiembe

    Leo ni siku ya aibu sana kwa Utawala wa Hayati Magufuli baada ya Sabaya kukiri alikuwa akitumwa kutekeleza uovu

    Sabaya alikuwa anatamba kwamba misheni zake alikuwa anatumwa na jiwe. Leo amekiri, kwa hakika ni siku ya aibu sana kwa utawala wa Hayati Magufuli. Mimi kama mfuasi wa Jiwe, Leo nimekuwa na siku mbaya sana baada ya Sabaya kukiri uhalifu mbele ya mahakama. Alikuwa anafanya uhalifu na kikosi kazi...
  16. K

    Sabaya amemaliza lini kifungo cha miaka 30 jela?

    Wakuu salamu,ama baada ya salamu naomba kuelekea kwenye swali ama hoja. Tumeona leo Sabaya akiachiwa huru na kurejea nyumbani baada ya taarifa za kukili kosa na kupewa kifungo cha nje kwenye kesi 7 za uhujumu alizokua amefunguliwa hapo Moshi. Kabla ya yote wote tujikumbushe kua Sabaya...
  17. F

    Nimeshtushwa na Sabaya kuachiwa huru bila adhabu yoyote! Sasa naelewa kwanini Mama anaishia kulalamika kama raia wengine

    Ya Sabaya na enzi za Magufuli yanaeleweka. Walioporwa mali zao na kunyanyaswa hata kupigwa vibao na Sabaya akiwa mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ni wengi na bado wanaganga maumivu na hasara zao. Leo baada ya kesi ya takribani miaka miwili Sabaya anaachiwa huru na mahakama?! Najiuliza...
  18. Akabi kemanya

    Makonda na Sabaya wakati ni sasa wa kuhamia CHADEMA

    Kama bandiko linavyojieleza, leo hii kwakuwa Mahakama imemuachia huru Sabaya Bila shaka sasa ni muda muafaka wa kufanya maamuzi ya kurudi kwenye jukwaa la siasa yeye Sabaya na Makonda Na hili kuidhihirishia jamii kuwa wao kama vijana waliingia kwenye mitego ya kisiasa bila kujua madhara...
  19. GENTAMYCINE

    Sabaya sasa utulie na ujue Dharau na Nyodo kwa Wakubwa havisaidii

    Nakushauri Sali sana halafu waepuke Marafiki wapya utakaowapata saaa ( baada ya kuachiwa Huru huko ) kwani wengi Wao ni Watu wa Mkakati Wanaotaka kumaliza Shughuli mapema kwani inasemekana una Kinyongo, Hasira na una Mambo unataka kutuwekea Huru juu ya yaliyokukuta.
  20. N

    Sabaya nafikiri amejifunza

    Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ambaye amekuwa akikabiliwa mashtaka saba ikiwemo uhujumu uchumi, matumizi mabaya ya madaraka na kuongoza genge la uhalifu leo Aprili 05, 2023 ameachiliwa huru.
Back
Top Bottom