Wakili Mahuna: Sabaya hajafungwa kifungo cha nje, ila Kapewa muda wa uangalizi wa mwaka mmoja

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,231
12,973
Wakili wa Sabaya, Mh Mahuna amesema Sabaya alikiri kosa la uhujumu uchumi na hivo kwa mujibu wa makubaliano ya Plea Bargaining Sabaya anapaswa kumlipa Alex Swai kwa niaba ya mdogo wake Tsh 5,000,000/=.

Mara baada ya hayo kesi ilienda kufail tena kwa makosa mawili ambayo ni "Kujitwawalia madalaka" pamoja na "Kuzuia utendaji wa haki" na ni makosa haya mawili alikiri na mahakama ikatoa hukumu ya kumuachia kutokana na mahakama kutokuwa na record yoyote kama Sabaya aliwahi kuhukumiwa kokote na kumpa muda wa uangalizi wa mwaka mmoja asitende kosa lolote (conditional discharge). Kimsingi mpaka sasa mahakama ya Tanzania haijasajili record yoyote kama imewahi kumtia hatiani Sabaya na kumpa kifungo chochote.

 
Kukiri kosa mahakamani kunafuatiwa na kutiwa hatiani halafu adhabu ambayo ni hiyo conditional discharge.
Vinginevyo anaachiwa huru bila sharti lolote.
Kwa nini mtu asiye na hatia yoyote apewe masharti ya kuishi?
Hiyo tafsiri ya mwanasheria Ina ukakasi kwa mtu mwenye kutumia akili ya kawaida.
 
Kukiri kosa mahakamani kunafuatiwa na kutiwa hatiani halafu adhabu ambayo ni hiyo conditional discharge.
Vinginevyo anaachiwa huru bila sharti lolote.
Kwa nini mtu asiye na hatia yoyote apewe masharti ya kuishi?
Hiyo tafsiri ya mwanasheria Ina ukakasi kwa mtu mwenye kutumia akili ya kawaida.

..inaelekea wakili anataka kumkamua mapesa zaidi mteja / Ole Sabaya.

..anamdanganya mteja kwamba amemuwezesha kukwepa hatia kwa makosa aliyokuwa akituhumiwa.
 
..inaelekea wakili anataka kumkamua mapesa zaidi mteja / Ole Sabaya.

..anamdanganya mteja kwamba amemuwezesha kukwepa hatia kwa makosa aliyokuwa akituhumiwa.
Hatia tayari, sijui kama kuna utaratibu mwingine wa kurudi mahakamani utolewe uamuzi mwingine.
 
Wakili wa Sabaya, Mh Mahuna amesema Sabaya alikiri kosa la uhujumu uchumi na hivo kwa mujibu wa makubaliano ya Plea Bargaining Sabaya anapaswa kumlipa Alex Swai kwa niaba ya mdogo wake Tsh 5,000,000/=.

Mara baada ya hayo kesi ilienda kufail tena kwa makosa mawili ambayo ni "Kujitwawalia madalaka" pamoja na "Kuzuia utendaji wa haki" na ni makosa haya mawili alikiri na mahakama ikatoa hukumu ya kumuachia kutokana na mahakama kutokuwa na record yoyote kama Sabaya aliwahi kuhukumiwa kokote na kumpa muda wa uangalizi wa mwaka mmoja asitende kosa lolote (conditional discharge). Kimsingi mpaka sasa mahakama ya Tanzania haijasajili record yoyote kama imewahi kumtia hatiani Sabaya na kumpa kifungo chochote.
Asante kwa ufafanuzi.
 
..inaelekea wakili anataka kumkamua mapesa zaidi mteja / Ole Sabaya.

..anamdanganya mteja kwamba amemuwezesha kukwepa hatia kwa makosa aliyokuwa akituhumiwa.
Hili ni suala la kisheria na mahakama. Kama ni mdau wa sekta hiyo tafadhali toa ufafanuzi wa kutosha wa kisheria na kimahakama huku ukizingatia maelezo yaliyomo kwenye nyaraka za kimahakama (kama utazipata) yaliyomfanya Ndugu Ole awe Nje ya sero.
 
Hili ni suala la kisheria na mahakama. Kama ni mdau wa sekta hiyo tafadhali toa ufafanuzi wa kutosha wa kisheria na kimahakama huku ukizingatia maelezo yaliyomo kwenye nyaraka za kimahakama (kama utazipata) yaliyomfanya Ndugu Ole awe Nje ya sero.

1. Wakili anasema Ole Sabaya amekiri kosa la kuhujumu uchumi.

2. Kupitia Plea bargain amekubali kulipa shilingi milioni 5.

3. Sabaya pia amekiri makosa ya kuzuia utendaji wa haki na kujitwalia madaraka.

4. Kutokana na rekodi yake huko nyuma mahakama imetoa hukumu awe chini ya uangalizi kwa mwaka mmoja.

Kwa vipengele hivyo hapo juu bila shaka mahakama imemkuta Ole Sabaya na HATIA.
 
Kukiri kosa mahakamani kunafuatiwa na kutiwa hatiani halafu adhabu ambayo ni hiyo conditional discharge.
Vinginevyo anaachiwa huru bila sharti lolote.
Kwa nini mtu asiye na hatia yoyote apewe masharti ya kuishi?
Hiyo tafsiri ya mwanasheria Ina ukakasi kwa mtu mwenye kutumia akili ya kawaida.
Wewe ni Mtaalamu wa Sheria?
 
Mwanasheria uchwara huyu. Ndiyo maana mwanzo mwisho kashindwa kumnasua mteja wake kwenye makucha ya sheria. Anaongea upupu huyu mwanasheria.

Kuachiwa huru hakunaga masharti.
 
Mwanasheria uchwara huyu. Ndiyo maana mwanzo mwisho kashindwa kumnasua mteja wake kwenye makucha ya sheria. Anaongea upupu huyu mwanasheria.

Kuachiwa huru hakunaga masharti.
Yaani mi namshaangaa sana Sabaya,umeweka Mwanasheria ili akunasuwe, mwisho wa siku unaingia Plea bargain na DPP, inamaana Mwanasheria kashindwa kazi maana kuingia plea bargain na DPP hakuna ulazima sana wa kua na middle man (Lawyer)
 
Wakili wa Sabaya, Mh Mahuna amesema Sabaya alikiri kosa la uhujumu uchumi na hivo kwa mujibu wa makubaliano ya Plea Bargaining Sabaya anapaswa kumlipa Alex Swai kwa niaba ya mdogo wake Tsh 5,000,000/=.

Mara baada ya hayo kesi ilienda kufail tena kwa makosa mawili ambayo ni "Kujitwawalia madalaka" pamoja na "Kuzuia utendaji wa haki" na ni makosa haya mawili alikiri na mahakama ikatoa hukumu ya kumuachia kutokana na mahakama kutokuwa na record yoyote kama Sabaya aliwahi kuhukumiwa kokote na kumpa muda wa uangalizi wa mwaka mmoja asitende kosa lolote (conditional discharge). Kimsingi mpaka sasa mahakama ya Tanzania haijasajili record yoyote kama imewahi kumtia hatiani Sabaya na kumpa kifungo chochote.

Hawa mwaka Jana walifaulu 16 tu hivyo sishangai Wakili kuwa kiazi kiasi hiki.
 
Mwanasheria uchwara huyu. Ndiyo maana mwanzo mwisho kashindwa kumnasua mteja wake kwenye makucha ya sheria. Anaongea upupu huyu mwanasheria.

Kuachiwa huru hakunaga masharti.
Mbumbumbu tu Huyo.
 
Hawa mwaka Jana walifaulu 16 tu hivyo sishangai Wakili kuwa kiazi kiasi hiki.
Mawakili siki hizi wengi ni Makanjanja sana, wengine Wana file hadi Forged documents Mahakamani ili mradi tu ashinde kesi kiujanjanja welidi hawana kabisa!!
 
Back
Top Bottom