Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 887
- 4,133
Sabaya ni watu wakatili na wamefanya ukatili kwa vipindi tofauti. Baba akiwa DC alichoma nyumba za wafugaji huko Arusha akaondolewa kwenye nafasi hiyo.
Mwanaye akiwa DC wa Hai alifanyia watu ukatili na alipohojiwa mahakama alitamka kwamba alikuwa anatenda hayo kwa kutumwa na JPM.
Leo Mzee Sabaya alipoulizwa kuhusu njia na utaratibu utakaotumia kulinda ardhi ikiwemo ya wafugaji huko Arusha walisikika viongozi wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Bw. Mtaka wakisema ILO SIYO SWALI.
Hawa watu wasiotaka kuulizwa mambo serious na wanaolindwa na akina Mtaka kwa maana ya system wataendelea kubebwa hadi lini?
Mwanaye akiwa DC wa Hai alifanyia watu ukatili na alipohojiwa mahakama alitamka kwamba alikuwa anatenda hayo kwa kutumwa na JPM.
Leo Mzee Sabaya alipoulizwa kuhusu njia na utaratibu utakaotumia kulinda ardhi ikiwemo ya wafugaji huko Arusha walisikika viongozi wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Bw. Mtaka wakisema ILO SIYO SWALI.
Hawa watu wasiotaka kuulizwa mambo serious na wanaolindwa na akina Mtaka kwa maana ya system wataendelea kubebwa hadi lini?