Taifa lipo katika maombolezo makubwa ila kwa wakati huo huo maisha yanapaswa kuendelea.
Ni ushauri tu kwa Mh. Samia endapo ataamua kufanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, wa kwanza kumtoa awe Waziri wa Afya, Dr. Gwajima. Huyu mama amekuwa kituko kikubwa katika wizara na serikali.
Huyu ndio...