kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,638
- 5,139
Niliwahi andika humu nikionya kwamba Sera mbovu za kodi na viwanda inaenda kusababisha kufungwa kiwanda cha Tumbaku Moro na hivyo kupelekea kupoteza zaidi ya ajira 1000 za moja kwa moja.
Wapiga pambio humu walinishambulia. Kiwanda kikafungwa mwaka Jana na wale jamaa kuondoka.
Baadaye kidogo kiwanda cha jezi mazava nacho kikafungwa. Hivi vyote Rais Magufuli hakuongelea . yeye ka focus kumshambulia Abood kwa viwanda alivonunua vikiwa vimejifia.
Simtetei Abood. Ninachoshangaa hapa ni unafiki wa Rais kutogusia hivi viwanda viwili vilivokufa ndani ya awamu ya utawala wake.
Je Rais Magufuli anachuki binafsi na Abood?
Sisi weusi ni wanafiki sana. Siipendi CCM lakini nasema hivi ukilinganisha wabunge rangi nyeusi na wale wabunge wenye Asili ya Asia , kuna tofauti kiutendaji majimboni. Hawa weusi hujitokeza majimboni kwa nadra kama sio wakati wa kuomba kura. Wabunge asili ya Asia at least hufanya vitu tangible. Atleast.
Upande wangu naamini Abood angeweza kufanya mengi morogoro ,tatizo Rais amekua akimshambulia kila akipita morogoro mbele ya umma.
Wapiga pambio humu walinishambulia. Kiwanda kikafungwa mwaka Jana na wale jamaa kuondoka.
Baadaye kidogo kiwanda cha jezi mazava nacho kikafungwa. Hivi vyote Rais Magufuli hakuongelea . yeye ka focus kumshambulia Abood kwa viwanda alivonunua vikiwa vimejifia.
Simtetei Abood. Ninachoshangaa hapa ni unafiki wa Rais kutogusia hivi viwanda viwili vilivokufa ndani ya awamu ya utawala wake.
Je Rais Magufuli anachuki binafsi na Abood?
Sisi weusi ni wanafiki sana. Siipendi CCM lakini nasema hivi ukilinganisha wabunge rangi nyeusi na wale wabunge wenye Asili ya Asia , kuna tofauti kiutendaji majimboni. Hawa weusi hujitokeza majimboni kwa nadra kama sio wakati wa kuomba kura. Wabunge asili ya Asia at least hufanya vitu tangible. Atleast.
Upande wangu naamini Abood angeweza kufanya mengi morogoro ,tatizo Rais amekua akimshambulia kila akipita morogoro mbele ya umma.