Bado naendelea kuwashangaa wizara ya afya, kiongozi wetu mkuu kila mara anasisitiza tuendelee kuchukua tahadhari.
Mara ya mwisho nimemsikia raisi wetu tarehe 19.02.2021 akirudia msemo huu, sasa sijui mnasubiri raisi ndiye afafanue tahadhari anazozisema ni zipi?
Rais ameendelea kusema mwaka jana tulifanya vizuri, ni matumaini yetu kuwa nyinyi wizara ya afya hamtamwangusha nyinyi na hamtawaangusha watanzania kwa kusisitiza tufanye yale yote tuliyoyafanya mwaka jana ili tuendeleze ushindi mkubwa tulioupata mwaka jana.
Lakini hiki kimya ninachokiona nyinyi ndiyo wizara ya afya mkizembea kama ambavyo kwa sasa mmepoa mnaweza kutusabashia kushindwa na tukashindwa kutembea vifua mbele kama tulivyofanya huko nyuma.
Mara ya mwisho nimemsikia raisi wetu tarehe 19.02.2021 akirudia msemo huu, sasa sijui mnasubiri raisi ndiye afafanue tahadhari anazozisema ni zipi?
Rais ameendelea kusema mwaka jana tulifanya vizuri, ni matumaini yetu kuwa nyinyi wizara ya afya hamtamwangusha nyinyi na hamtawaangusha watanzania kwa kusisitiza tufanye yale yote tuliyoyafanya mwaka jana ili tuendeleze ushindi mkubwa tulioupata mwaka jana.
Lakini hiki kimya ninachokiona nyinyi ndiyo wizara ya afya mkizembea kama ambavyo kwa sasa mmepoa mnaweza kutusabashia kushindwa na tukashindwa kutembea vifua mbele kama tulivyofanya huko nyuma.