Unatufundisha mtu kwao,
Kwa muziki huo Marais waliopita walishindwa kuendeleza makwao kiuchumi na hata kimiundo mbinu, Leo Chato imepaa, kuanzia Mwinyi hadi Kikwete kama wangekuwa kama huyu, tungelishakuwa na miji iliyonawiri kama mikoa mitatu na huu wa nne.
Nawasihi viongozi mliobaki mfuate nyayo za Rais Magufuli, Mawaziri na wengine mkae mkijua kuwa mtu kwao,sio mnanunua mashamba na viwanja kwa ajili ya matumbo yenu,tunahitaji kuona mnayafanya kwa ajili ya miji yenu.
Ukiangalia watu wenye furaha leo ni kutoka Chato na wanatembea kifua mbele,angalia anakotoka makamo wa Raisi angalia anakotoka Waziri Mkuu na hata mawaziri wengine kama wa afya hakikisha unakotoka unajenga Hospital nzuri ya mkoa au japo iwepo wilayani kwako au wilaya yenye umeme wa uhakika.
Hongera sana Mheshimiwa Magufuli unaonyesha uongozi ulio na dira.
Kwa muziki huo Marais waliopita walishindwa kuendeleza makwao kiuchumi na hata kimiundo mbinu, Leo Chato imepaa, kuanzia Mwinyi hadi Kikwete kama wangekuwa kama huyu, tungelishakuwa na miji iliyonawiri kama mikoa mitatu na huu wa nne.
Nawasihi viongozi mliobaki mfuate nyayo za Rais Magufuli, Mawaziri na wengine mkae mkijua kuwa mtu kwao,sio mnanunua mashamba na viwanja kwa ajili ya matumbo yenu,tunahitaji kuona mnayafanya kwa ajili ya miji yenu.
Ukiangalia watu wenye furaha leo ni kutoka Chato na wanatembea kifua mbele,angalia anakotoka makamo wa Raisi angalia anakotoka Waziri Mkuu na hata mawaziri wengine kama wa afya hakikisha unakotoka unajenga Hospital nzuri ya mkoa au japo iwepo wilayani kwako au wilaya yenye umeme wa uhakika.
Hongera sana Mheshimiwa Magufuli unaonyesha uongozi ulio na dira.