Mfanyabiashara maarufu nchini ndugu Rostam Aziz ametoa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya sh 500 milioni kuisadia Zanzibar katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Covid 19.
Akipokea msaada huo na michango mingine ya sh 100 milioni kutoka Kagera Sugar na sh 12 milioni kutoka kwa Subash...
Wakati taifa likiendelea kupambana na gonjwa hili hatari la Corona.
Ni takribani zaidi ya mwezi mmoja sasa sijapata kumuona wala kumsikia Mama Yetu Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan. Namuona Waziri Mkuu na Waziri wa Afya tu.
Nilitegemea wkati Rais yuko mapumzikoni mpaka sasa Basi angalau...
Ukiwa na matumaini makubwa ya kuwa raia namba moja nchini, ulianza kampeni mapema kwa kuandika mabango kwa mamia katika maeneo yote muhimu na pia katika structures nyingi zilizo barabarani nchi nzima!
Kwa kuwa umegonga mwamba katika matumaini yako tafadhali tumia mbinu zile zile ulizotumia...
Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu kwa kutumia ukurasa wa Twitter ametuma salamu za rambirambi kutokana na kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu, Mchungaji Dkt. Getrude Rwakatare.
Amesema "Kwa Masikitiko na mshtuko nimepokea taarifa ya kifo cha aliyekuwa Askofu na Mchungaji wa Kanisa...
Katika hili janga la korona kuna hawa watu wawili wamenivutia.
Rais Magufuli na bwana Yaakov litzman magufuli tunamjua ila Yaakov ni waziri wa afya wa Israel.
Tatizo la korona lilipoingia Tanzania Magufuli alichukua hatua za haraka kuokoa umma wake kwa kufunga mashule.
Baadae akasema watu...
Pole na majukukumu hapo Chato, Mheshimiwa Rais wangu.
Baada ya kuwaza sana juu ya kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa corona naomba nikuombe bomoa zile kamati muweke RC Makonda aongoze mapambano kwa sababu zangu ninazoziona.
Kwanza Makonda akili imesha mkaa sawa sasa hivi naona ameamua kuongoza...
Wachina saba wamekutwa na hatia ya kujaribu kuwaua watanzania wawili kwa kuwatupa baharini karibu na mwambao wa KwaZulu Natal, mwezi uliopita
Amiri Salamu(20) na Hassani Rajabu(30) walitoswa baharini wakiwa wamepewa ‘life jackets’ na chupa za maji wakaamriwa kuogelea. Siku tatu baadae...
1) Tukumbuke Mwalimu Julias Kambarage Nyerere alisema sitawapiga Mabomu Wazanzibari wakikataa Muungano haki hio tunayo.
Kama Rais Naamrisha Wabunge wote Wa Zanzibar ikiwa CCM au CUF ACT. Kutoka Bungeni Kurudi Zanzibar.
2) Nikiwa kama Rais wa Zanzibar Nasitisha Shughuli zote za Kimuungano...
Nchi zote duniani zimechukua tahadhari kubwa kuhusiana na hili gonjwa la corona, kuna serikali zimefungia raia wake wasitoke nje ikiwemo nchi za Africa Isipokuwa Tanzania.
Kwa hakika hili la Rais Magufuli kuruhusu shughuli ziendelee anapaswa kupongezwa na sio kubezwa, watanzania wengi ni...
Yumkini hali si nzuri. Rais kafunguka.
=====
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe magufuli ameandika:
"Ndugu zangu Watanzania, kutokana na ugonjwa wa Corona, nawaomba tutumie siku 3 za kuanzia tarehe 17- 19 Aprili, 2020 {Ijumaa, Jumamosi na...
Leo ndiyo siku ya kwanza ambayo Rais Magufuli amewaomba viongozi wa dini nchini kote pamoja na waumini wao, wamliiie Mungu wetu ili atuondolee na autokomeze kabisa ugonjwa huu hatari wa Corona unaosumbua duniani kote
Wito huo sisi waumini wa dini mbalimbali tunaupokea kwa moyo mkunjufu na...
Wanabodi,
Hili ni bandiko la swali,
Kufuatia kuingezeka maradufu wa kasi ya sasa ya maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona, Je, tuendelee kuupongeza msimamo wa rais Magufuli wa ushujaa wa Ka Corona ni Ka Ugonjwa Kadogo, Tusitishane, Watanzania Tuendelee Kuchapa kazi kwa kuzingatia maelekezo...
Kwanza nitumie nafasi hii kuipongeza serikali kwa hatua inazochukua katika kukabiliana na hili janga la Corona.
Lakini pia nionye kwamba, imeishadhihirika duniani kote kwamba kirusi hiki cha corona ni kama vile kinashambulia mifumo ya kimaamuzi ya kidemocrasia na mfumo wa maisha yaliyozoeleka...
Mkuu wa mkoa wa DSM Mh. Makonda amesema mkoa wake umetenga hospitali 25 jijini zikiwemo zile za Rufaa na baadhi ni binafsi ili kuhudumia watu wote wanaojihisi wana dalili za corona.
Makonda amesema ukifika katika hospitali hizo utapimwa magonjwa mengine yote na ukionekana uko salama ndipo damu...
Rais wa Chad Idriss Deby ametangaza kutoa huduma ya maji bure kwa miezi sita.
Pia serikali italipia gharama zote za umeme kwa miezi mitatu.
Serikali inatarajia kuajiri watumishi 1638 wa afya. Na vifaa vya kusaidia kupambana na CoronaVirus havitatozwa kodi.
Hizi ni hatua zilizochukuliwa kuwapa...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza na tunavyojionea kwa sasa kutokana na huu ugonjwa wa Corona matarajio ya Rais wetu mpendwa kutaka kuifikisha nchi yetu katika uchumi bora imefifia kutokana na tatizo hili.
Japo mpaka sasa bado namuona Rais wetu akiwa bado ana matumaini hayo ya kuifikisha...
Mwigulu Nchemba wakati ni Waziri wa Mambo ya Ndani nilitoka nikamshutumu waziwazi kupotea kwa Ben Saanane, Mauaji Soweto na kuuawa kwa Police wetu kule Mbagala ila alianzisha uzi humu kunishambulia kwamba hakuna ninachokijua ila kama angejiongeza angejiuzulu kuliko kungoja kutimuliwa kama mbwa...
Dunia nzima inapita katika kipindi kigumu sana kisiasa, kiuchumi na kijamii. Shughuli zote za kijamii, kiuchumi na kisiasa zinafanyika kwa ugumu sana. Tumeshuhudia shule zikifungwa, ndege haziingii wala kutoka, utalii ukisimama mabisa, biashara zikidorola, hofu ya ugonjwa na matumaini ya maisha...
Duniani bado kuna watu wema. Nakumbuka Housegirl wa mh Rais Karume tulipanda basi toka Malawi. Miaka ya 2007/8. Nilimpigisha Sana story njiani mpaka akafurahi sana.
Tulipofika Msamvu usiku kabla stend mpya haijajengwa wakaja wahuni wengi including vibaka. Yule dada kwa kutambua hatari iliyokuwa...
Naomba kuwauliza wote waliounga juhudi za Rais wetu mpendwa Magufuli je kesho Tundu Lisu akiwa RAIS je watageuka na kuanza kumponda Magufuli na kumsifia Tundu Lisu?
Je TBC itaanza kuimba nyimbo za kumsifu Lisu na wataimbaimbaje?
Hebu tufikirie ulimwengu unavyoweza kubadilika kwa ghafla kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.