Kauli ya Lema kuwa angekuwa serikalini wangeingia dili la siri na Laizer kuna kitu cha kujiifunza, lakini pia tumpongeze Rais Magufuli kwa uwazi

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
Nimesikiliza mahojiano kati ya Mwandishi wa habari na Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema kuhusu Serikali kununua mawe mawili ya Madini ya Tanzanite ya Bilionea Aniniu Laizer kwa Tshs. Bil.7.8.

Hakika nimesikitishwa na kauli ya Lema kuwa angekuwa Serikalini wangeingia dili la siri na Laizer. Tafsiri ya kauli hii ni kwamba siyo tu kwamba Watanzania tusingejua Serikali imenunua madini hayo kwa kiasi gani cha pesa bali tusingejua hata uzito wa madini hayo.

Sababu alizotoa Lema za dili la siri na Laizer hazina mashiko kabisa zaidi uonevu, wizi,.na utapeli ambao mwisho wa siku Laizer angekosa haki yake na pesa hiyo kuangukia mikononi mwa wachache badala ya Serikali.

Eti kwa dili la siri na Laizer , kungetangaza.na kuyaongezea thamani madini hayo duniani. Nani kamdanganya Lema kuwa dunia haijui kuwa Madini ya Tanzanite yana thamani? Dunia ipi haijui kuwa Laizer amepata madini yenye uzito wa kilo 15? Lema akafungue hizi linki ajue kuwa Marekani, uingereza, India , Vietnam na kwingineko wanajua.

[28/06, 16:37] Mohamad Abdallah: Tanzanian miner becomes overnight millionaire
[28/06, 16:48] Mohamad Abdallah: Tanzanian mine owner celebrates discovery of $3.3m gemstones
[28/06, 16:53] Mohamad Abdallah: Tanzanian miner becomes overnight millionaire by selling rare gemstones for over $3 million
[28/06, 16:54] Mohamad Abdallah: Know how this Tanzania man became overnight millionaire

Lakini kauli ya Lema inatufungua macho na masikio kuwa kama kauli ya Lema ni msimamo wa upinzani ,basi upinzani haujawa na nia njema kwa Watanzania.

DILI LA SIRI NA LAIZER? Siri ya nini?

Mungu amepanga Mambo haya yatokee kipindi hiki cha Magufuli ili Watanzania wanyonge wanufaike.
 
Lema zinamtia wivu Tu, na hasa hasa anapojitazama mwili wake mzima unanuka mikopo ya mabenki mbalimbali, akijitazama uwezo wa kuchukua ubunge tena temu hii anakuwa na mashaka,

Sasa anadhani akijipendekeza Kwa huyu mchimbaji atageiwa kidogo ili alipelipe madeni yake, Atafute zakwake naye!

Tangu tumepata funzo la namna Nzuri ya kutumia pesa na bajeti zetu katika swami hii, kina lema wao hawakujifunza chochote zaidi ya kuendekeza mikopo, sijui atafanya nini ikiwa hata ubunge hapati safari hii

Aambiwe tu kuwa, Bahati ya mwingine asiilalie mlango wazi.
 
Wapinzani mbona mnapinga kila kitu? Tunajua kazi inafanyika ila tutaishije?- JK
 
Hizi nazo ni porojo tu! Unajadili hoja kana kwamba kila mtu amesikia hicho unachosema alikisema Lema. Weka hoja moja baada ya nyingine aliyoisema kisha uijadili zaidi ya hapo unaongea porojo
Umiza kichwa kujua lema amesema mini, usitake kutafuniwa kila kitu, hizi akili mgando mpaka lini?
 
Wale akina Smoke hawajawahi kuwa waaminifu kwenye Money.
Tumsamehe bure.
Ndio maana mwenyekiti wake anapiga pesa za ruzuku kwenye chama lakini kamwe hutamsikia Lema akimkosoa wala kumpinga.

Mwisho wa wezi na wanasiasa matapeli ni Mwaka huu .
Lema na Mbowe out hata kwa kuiba kura. Hatuhitaji wanasiasa walaghai na wanaopinga kila kitu kama watoto wa mama wa kambo.
 
Lema zinamuuma, tena Kwa sababu ya mikopo kibao kwenye mabenki akija kucheki na upepo wa siasa huenda akapigwa Chini, ndio kabisaa akiri hazikai kulia Wala kushoto.

Aambiwe tu kuwa, Bahari ya mwingine asiilalie mlango wazi.
Dada,ulisoma ulichokiandika? Unaandika huku unakimbizwa?
 
Hapa umechangia nini sasa?
Wale akina Smoke hawajawahi kuwa waaminifu kwenye Money.
Tumsamehe bure.
Ndio maana mwenyekiti wake anapiga pesa za ruzuku kwenye chama lakini kamwe hutamsikia Lema akimkosoa wala kumpinga.

Mwisho wa wezi na wanasiasa matapeli ni Mwaka huu .
Lema na Mbowe out hata kwa kuiba kura. Hatuhitaji wanasiasa walaghai na wanaopinga kila kitu kama watoto wa mama wa kambo.
 
Nimesikiliza mahojiano kati ya Mwandishi wa habari na Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema kuhusu Serikali kununua mawe mawili ya Madini ya Tanzanite ya Bilionea Aniniu Laizer kwa Tshs. Bil.7.8.

Hakika nimesikitishwa na kauli ya Lema kuwa angekuwa Serikalini wangeingia dili la siri na Laizer. Tafsiri ya kauli hii ni kwamba siyo tu kwamba Watanzania tusingejua Serikali imenunua madini hayo kwa kiasi gani cha pesa bali tusingejua hata uzito wa madini hayo.

Sababu alizotoa Lema za dili la siri na Laizer hazina mashiko kabisa zaidi uonevu, wizi,.na utapeli ambao mwisho wa siku Laizer angekosa haki yake na pesa hiyo kuangukia mikononi mwa wachache badala ya Serikali.

Eti kwa dili la siri na Laizer , kungetangaza.na kuyaongezea thamani madini hayo duniani. Nani kamdanganya Lema kuwa dunia haijui kuwa Madini ya Tanzanite yana thamani? Dunia ipi haijui kuwa Laizer amepata madini yenye uzito wa kilo 15? Lema akafungue hizi linki ajue kuwa Marekani, uingereza, India , Vietnam na kwingineko wanajua.

[28/06, 16:37] Mohamad Abdallah: Tanzanian miner becomes overnight millionaire
[28/06, 16:48] Mohamad Abdallah: Tanzanian mine owner celebrates discovery of $3.3m gemstones
[28/06, 16:53] Mohamad Abdallah: Tanzanian miner becomes overnight millionaire by selling rare gemstones for over $3 million
[28/06, 16:54] Mohamad Abdallah: Know how this Tanzania man became overnight millionaire

Lakini kauli ya Lema inatufungua macho na masikio kuwa kama kauli ya Lema ni msimamo wa upinzani ,basi upinzani haujawa na nia njema kwa Watanzania.

DILI LA SIRI NA LAIZER? Siri ya nini?

Mungu amepanga Mambo haya yatokee kipindi hiki cha Magufuli ili Watanzania wanyonge wanufaike.
Akili mbumbumbu na goigoi kama yako na wenzako kamwe haiwezi kung'amua undani wa hoja ya Lema. Sina uhakika kama umesoma shule ya Kata au ni mmoja ya wale wavaa magwanda ya kijani ambao asilimia kubwa ni wajinga na wasio maarifa huku wamejawa na utapiamlo wa akili. Inahitaji akili kubwa keulewa alichomaanisha Lema, kama ungejua mikakati mbalimbali ya biashara za kimataifa basi usingeandika utumbo huu.
 
Lema ametoa mawazo yake na wewe toa mawazo yako yako sio kumshambulia.
Hizo link ulizoweka zimepata taarifa baada ya publicity iliyofanyika kwa Laizer bila hivyo labda wewe ndio ungewatumia hizo details.
 
Maoni yangu ni kuwa yale mawe yawekwe kwenye mnada wa hadhara wa kimataifa. highest bidder anunue. Pale haipungui £m100

Serikali ikate kodi yake inayobaki Laizer apewe haki yake.
 
Maoni yangu ni kuwa yale mawe yawekwe kwenye mnada wa hadhara wa kimataifa. highest bidder anunue. Pale haipungui £100,000.

Serikali ikate kodi yake inayobaki Laizer apewe haki yake.
Duuuh,umesahau kwa madini ni Mali ya Serikali .
Na serikali imempa pesa nyingi kuliko hizo £ 100,000 ambazo hazizid hata Tsh.1.5 Bil.

Hapo ndipo watanzania wanapoona hakuna haja ya kuwa na Rais mwingine zaidi ya Magufuli iwe ni kutoka CCM au Chama Kingine.
Mawazo ya wachache wapiga dili kama Lema ndio wanaohamasisha wizi badala ya kujenga Taifa la Kizalendo.

Madini yamenunuliwa na Serikali yetu kwa Faida ya Watanzania zaidi ya mil. 58 badala ya kushauri namna ya kuyatumia ili serikali yetu sasa itunze hiyo hazina na kuiingizia nchi Pato la Kubwa zaidi watu wanakuja na hoja za kuwa Laizer Kapunjwa .
Yeye Mwenyewe kwa uzalendo wake ameridhika kuona Taifa lake limethamini mchango wake wa kuijenga nchi.
Sasa Huyo Mwizi Lema yaye angefurahi kusikia nchi yake ndio imruziwa hayo mawe kwa bei ya kulaliwa? Au angekuja Beberu mmoja akawahonga baadhi ya maafisa wa aina ya Lema na Mbowe ndani ya TRA kisha wakalithaminisha kwa Bei ndogo na Kodi isiyozidi bil. Moja kisha wakaingia zao mitini ba kumwaga Bia barabarani na kuoga na KVanti jiji zima la Arusha bado tena wehu hao wangeikejeli Serikali kuwa imeibiwa.

Mtangaza nia wa CCM upande wa Mh. Magufuli mpaka sasa ameonyesha kuwa kila jambo amelifanya kwa nia njema.

Na wapinzani isipokuwa kidogo Maalim Seif wengine wote ni ubinafsi na wanatumiwa na mabebebru.
Tundu Lisu tunamuamini lakini amepotea njia kutumiwa na Mbowe kutakatisha Udikteta wa Mbowe ndani ya Chama kwa kukubali na kunyamazia uovu wa Mbowe huku akijua wazi kuwa kama Leo hii Zito ndio angekua Mwenyekiti wa Chadema Yanayotokea Leo ACT yangekua ni mafuriko ndani ya Chadema na Chadema ingekua imeshajihakikishia viti zaidi ya 20 Zanzibar baada ya CUF kufariki.

Watu kama akina Lema ni wanaharakati wa kutetea maslahi ya Mabeberu na wezi. Arusha uligeuka ukawa mji wa Kijambazi na mapesa ya damu na dhulma na Mbowe na Lema walikaa kimya hawajawahi kulalamika mana waliona ni jamaa zao wanaonufaika na uharamia uliokuwa unafanywa na kupoteza mapato ya serikali huko watu wakipigana risasi kunyanganyana fedha mchana kweupe na kuporana madini. Palikua na kamtandao kaovu ka wizi kwenye jiji la Arusha.

Tumshukuru Magufuli kuliweka jiji la Arusha salama na kuwadhibiti wezi waliokua wananufaika na wizi huo na ukwepaji kodi, Lema akiwa Mmoja wapo wa wanufaika na kura za matapeli huku akiwatetea.

Mwaka huu inyeshe mvua au liwake jua Lema hafai hata kuwa Diwani wa Kata ya Ungalimitedi. Kitakachomtoa ni maamuzi magumu tu ya kuangalia maslahi ya Nchi na kumtangaza Mbunge toka Chama Kingine chenye Mgombea Mzalendo.
Mbiwe na Genge lake Wamemfukuza kwa kumwandama Meya Makini Tanzania nzima ,Lazaro Kalisti kwa Maslahi ya jambazi na mwizi Lema . Haiwezekani kumwacha Lema akapewa tena Jimbo lenye uwezekano wa kuingizia nchi yetu Pato kubwa na sifa kubwa kwa nchi yetu eti kwa sababu ya maslahi ya mwanasiasa mmoja kuwa mbunge. Hata kwa kura moja Kalisti kama atapitishwa na CCM atafaa kuwa mbunge halali kwa maslahi ya nchi lakini sio Lema.

Mwaka 2021 Mbowe atapata aibu kubwa kwani ataporomoka kutoka kwenye Waziri mkuu Kivuli mpaka Kubaki na Uenyekiti wa Chama kisichokuwa na uwakilishi bungeni; huku Msemaji wake akiwa Lema .
 
Nimesikiliza mahojiano kati ya Mwandishi wa habari na Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema kuhusu Serikali kununua mawe mawili ya Madini ya Tanzanite ya Bilionea Aniniu Laizer kwa Tshs. Bil.7.8.

Hakika nimesikitishwa na kauli ya Lema kuwa angekuwa Serikalini wangeingia dili la siri na Laizer. Tafsiri ya kauli hii ni kwamba siyo tu kwamba Watanzania tusingejua Serikali imenunua madini hayo kwa kiasi gani cha pesa bali tusingejua hata uzito wa madini hayo.

Sababu alizotoa Lema za dili la siri na Laizer hazina mashiko kabisa zaidi uonevu, wizi,.na utapeli ambao mwisho wa siku Laizer angekosa haki yake na pesa hiyo kuangukia mikononi mwa wachache badala ya Serikali.

Eti kwa dili la siri na Laizer , kungetangaza.na kuyaongezea thamani madini hayo duniani. Nani kamdanganya Lema kuwa dunia haijui kuwa Madini ya Tanzanite yana thamani? Dunia ipi haijui kuwa Laizer amepata madini yenye uzito wa kilo 15? Lema akafungue hizi linki ajue kuwa Marekani, uingereza, India , Vietnam na kwingineko wanajua.

[28/06, 16:37] Mohamad Abdallah: Tanzanian miner becomes overnight millionaire
[28/06, 16:48] Mohamad Abdallah: Tanzanian mine owner celebrates discovery of $3.3m gemstones
[28/06, 16:53] Mohamad Abdallah: Tanzanian miner becomes overnight millionaire by selling rare gemstones for over $3 million
[28/06, 16:54] Mohamad Abdallah: Know how this Tanzania man became overnight millionaire

Lakini kauli ya Lema inatufungua macho na masikio kuwa kama kauli ya Lema ni msimamo wa upinzani ,basi upinzani haujawa na nia njema kwa Watanzania.

DILI LA SIRI NA LAIZER? Siri ya nini?

Mungu amepanga Mambo haya yatokee kipindi hiki cha Magufuli ili Watanzania wanyonge wanufaike.
Kwajiyo na wewe hapa upotoa uharo wako ni maoni ya serikali
 
Duuuh,umesahau kwa madini ni Mali ya Serikali .
Na serikali imempa pesa nyingi kuliko hizo £ 100,000 ambazo hazizid hata Tsh.1.5 Bil.

Hapo ndipo watanzania wanapoona hakuna haja ya kuwa na Rais mwingine zaidi ya Magufuli iwe ni kutoka CCM au Chama Kingine.
Mawazo ya wachache wapiga dili kama Lema ndio wanaohamasisha wizi badala ya kujenga Taifa la Kizalendo.

Madini yamenunuliwa na Serikali yetu kwa Faida ya Watanzania zaidi ya mil. 58 badala ya kushauri namna ya kuyatumia ili serikali yetu sasa itunze hiyo hazina na kuiingizia nchi Pato la Kubwa zaidi watu wanakuja na hoja za kuwa Laizer Kapunjwa .
Yeye Mwenyewe kwa uzalendo wake ameridhika kuona Taifa lake limethamini mchango wake wa kuijenga nchi.
Sasa Huyo Mwizi Lema yaye angefurahi kusikia nchi yake ndio imruziwa hayo mawe kwa bei ya kulaliwa? Au angekuja Beberu mmoja akawahonga baadhi ya maafisa wa aina ya Lema na Mbowe ndani ya TRA kisha wakalithaminisha kwa Bei ndogo na Kodi isiyozidi bil. Moja kisha wakaingia zao mitini ba kumwaga Bia barabarani na kuoga na KVanti jiji zima la Arusha bado tena wehu hao wangeikejeli Serikali kuwa imeibiwa.

Mtangaza nia wa CCM upande wa Mh. Magufuli mpaka sasa ameonyesha kuwa kila jambo amelifanya kwa nia njema.

Na wapinzani isipokuwa kidogo Maalim Seif wengine wote ni ubinafsi na wanatumiwa na mabebebru.
Tundu Lisu tunamuamini lakini amepotea njia kutumiwa na Mbowe kutakatisha Udikteta wa Mbowe ndani ya Chama kwa kukubali na kunyamazia uovu wa Mbowe huku akijua wazi kuwa kama Leo hii Zito ndio angekua Mwenyekiti wa Chadema Yanayotokea Leo ACT yangekua ni mafuriko ndani ya Chadema na Chadema ingekua imeshajihakikishia viti zaidi ya 20 Zanzibar baada ya CUF kufariki.

Watu kama akina Lema ni wanaharakati wa kutetea maslahi ya Mabeberu na wezi. Arusha uligeuka ukawa mji wa Kijambazi na mapesa ya damu na dhulma na Mbowe na Lema walikaa kimya hawajawahi kulalamika mana waliona ni jamaa zao wanaonufaika na uharamia uliokuwa unafanywa na kupoteza mapato ya serikali huko watu wakipigana risasi kunyanganyana fedha mchana kweupe na kuporana madini. Palikua na kamtandao kaovu ka wizi kwenye jiji la Arusha.

Tumshukuru Magufuli kuliweka jiji la Arusha salama na kuwadhibiti wezi waliokua wananufaika na wizi huo na ukwepaji kodi, Lema akiwa Mmoja wapo wa wanufaika na kura za matapeli huku akiwatetea.

Mwaka huu inyeshe mvua au liwake jua Lema hafai hata kuwa Diwani wa Kata ya Ungalimitedi. Kitakachomtoa ni maamuzi magumu tu ya kuangalia maslahi ya Nchi na kumtangaza Mbunge toka Chama Kingine chenye Mgombea Mzalendo.
Mbiwe na Genge lake Wamemfukuza kwa kumwandama Meya Makini Tanzania nzima ,Lazaro Kalisti kwa Maslahi ya jambazi na mwizi Lema . Haiwezekani kumwacha Lema akapewa tena Jimbo lenye uwezekano wa kuingizia nchi yetu Pato kubwa na sifa kubwa kwa nchi yetu eti kwa sababu ya maslahi ya mwanasiasa mmoja kuwa mbunge. Hata kwa kura moja Kalisti kama atapitishwa na CCM atafaa kuwa mbunge halali kwa maslahi ya nchi lakini sio Lema.

Mwaka 2021 Mbowe atapata aibu kubwa kwani ataporomoka kutoka kwenye Waziri mkuu Kivuli mpaka Kubaki na Uenyekiti wa Chama kisichokuwa na uwakilishi bungeni; huku Msemaji wake akiwa Lema .
Nilimaanisha £m100
 
Back
Top Bottom