Uchaguzi 2020 Wabunge wa kuteuliwa na Rais wayavamia majimbo kwa kishindo, Alhaj Bulembo astaafu

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,832
141,749
Tofauti na wabunge wengine wa viti maalumu, hawa wateule wa Rais wameonyesha dhamira ya kweli ya kuwatumikia wananchi.

Dkt. Tulia yuko jijini Mbeya akijaribu kumtunishia misuli mbunge aliyemaliza muda wake Joseph Mbilinyi aka Sugu.

Prof. Kabudi ametia nia kwa kishindo pale Kilosa mbele ya mwenyekiti wa CCM Dr Magufuli.

Prof. Ndalichako na Dr Mpango wako Kigoma wakihimiza shughuli za maendeleo na wote kwa nyakati tofauti walishatia nia kugombea ubunge huko waliko sasa.

Alhaj Bulembo aliyebahatika kuwemo bungeni yeye na binti yake Halima wote wakiwa wabunge wa viti maalumu ametangaza kustaafu ubunge.

Bulembo kwa sasa amejipa jukumu moja tu la kuhakikisha " Mkaza mwana" wake Zitto Kabwe harudi bungeni.

Maendeleo hayana vyama!
 
Tofauti na wabunge wengine wa viti maalumu, hawa wateule wa Rais wameonyesha dhamira ya kweli ya kuwatumikia wananchi.

Dkt. Tulia yuko jijini Mbeya akijaribu kumtunishia misuli mbunge aliyemaliza muda wake Joseph Mbilinyi aka Sugu.

Prof. Kabudi ametia nia kwa kishindo pale Kilosa mbele ya mwenyekiti wa CCM Dr Magufuli.

Prof. Ndalichako na Dr Mpango wako Kigoma wakihimiza shughuli za maendeleo na wote kwa nyakati tofauti walishatia nia kugombea ubunge huko waliko sasa.

Alhaj Bulembo aliyebahatika kuwemo bungeni yeye na binti yake Halima wote wakiwa wabunge wa viti maalumu ametangaza kustaafu ubunge.

Bulembo kwa sasa amejipa jukumu moja tu la kuhakikisha " Mkaza mwana" wake Zitto Kabwe harudi bungeni.

Maendeleo hayana vyama!
Kumbe Bulembo alikuwa wa viti maalum!! Ndiyo maana alikuwa anashabikia ujinga!!!!!!
 
Tofauti na wabunge wengine wa viti maalumu, hawa wateule wa Rais wameonyesha dhamira ya kweli ya kuwatumikia wananchi.

Dkt. Tulia yuko jijini Mbeya akijaribu kumtunishia misuli mbunge aliyemaliza muda wake Joseph Mbilinyi aka Sugu.

Prof. Kabudi ametia nia kwa kishindo pale Kilosa mbele ya mwenyekiti wa CCM Dr Magufuli.

Prof. Ndalichako na Dr Mpango wako Kigoma wakihimiza shughuli za maendeleo na wote kwa nyakati tofauti walishatia nia kugombea ubunge huko waliko sasa.

Alhaj Bulembo aliyebahatika kuwemo bungeni yeye na binti yake Halima wote wakiwa wabunge wa viti maalumu ametangaza kustaafu ubunge.

Bulembo kwa sasa amejipa jukumu moja tu la kuhakikisha " Mkaza mwana" wake Zitto Kabwe harudi bungeni.

Maendeleo hayana vyama!

Awamu hii ukitaka kuwatumikia wananchi ni mpaka uwe mbunge tu. Astghafilullah, yaani kada nyingine ni bure tu katika kushughulikia wananchi.

Sasa nimeelewa kwa dhana hiyo, ndio maana wakuu wa wilaya, mikoa, MaRASS nk wanagombaniana majimbo, huku JPM mwenyewe kastuka.

WanaLumumba ondoeni dhana hii potofu.

Maendeleo hayana vyama.
 
Back
Top Bottom