johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Nitoe tu angalizo kama ambavyo maalim Seif wa ACT Wazalendo ameona ni heri akainyemelea tena nafasi ya makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar.
CHADEMA pambaneni muitetee nafasi mliyonayo Bungeni ya KUB kwa sababu bado hamjawa na uwezo wa kutoa Rais wa JMT.
Kwa sasa Rais Magufuli hapingiki kwa nafasi ya Rais wa Tanzania na kule Zanzibar tume aliyoisusia Maalim Seif ni ile ile hata kama Jecha amestaafu na kurejea CCM.
Maendeleo hayana vyama!
CHADEMA pambaneni muitetee nafasi mliyonayo Bungeni ya KUB kwa sababu bado hamjawa na uwezo wa kutoa Rais wa JMT.
Kwa sasa Rais Magufuli hapingiki kwa nafasi ya Rais wa Tanzania na kule Zanzibar tume aliyoisusia Maalim Seif ni ile ile hata kama Jecha amestaafu na kurejea CCM.
Maendeleo hayana vyama!