rais

  1. Superbug

    Wanaomsifia Magufuli leo kesho Lisu akiwa Rais watalamba matapishi yao?

    Naomba kuwauliza wote waliounga juhudi za Rais wetu mpendwa Magufuli je kesho Tundu Lisu akiwa RAIS je watageuka na kuanza kumponda Magufuli na kumsifia Tundu Lisu? Je TBC itaanza kuimba nyimbo za kumsifu Lisu na wataimbaimbaje? Hebu tufikirie ulimwengu unavyoweza kubadilika kwa ghafla kwa...
  2. Pascal Mayalla

    "Mimi ni Mwenzenu Hapa, Sijabadilika ni Yule Yule "KaJoni" - Ni Maneno Simple, Humble and Down to Earth Yenye Maana Kubwa!

    Wanabodi, Hili ni bandiko la hoja ngumu zinazoitwa abstract, na zinahusu kitu kinachoutwa psychoanalysis, mtanisamehe, sikijui Kiswahili cha abstract wala psychoanalysis, lakini inahusu kumsikiliza mtu kauli na kuibaini kama inatoka moyoni au mdomoni. Ili uweze kuibaini kauli ni ya kutoka moyoni...
  3. J

    Kudhibiti wahujumu uchumi: Mzee Kimiti amfananisha Rais Magufuli na mpambanaji shujaa Edward Moringe Sokoine

    Mzee Paul Kimiti ambaye amewahi kushika nyadhifa mbalimbali nchini ikiwemo ubunge, ukuu wa mkoa na uwaziri kuanzia enzi za mwalimu Nyerere amemmwagia sifa za kutosha Rais Magufuli. Mzee Kimiti anasema katika kupambana na wahujumu wa uchumi wa taifa letu Dr Magufuli anafanana sana na aliyekuwa...
  4. F

    Wadau nasikia Rais Museven kapiga pushups na kukimbia kuliko hata kijana mdogo

    Wadau mada hapo juu yajitosheleza, siamini nilichosikia juzi BBC Radio- Swahili.
  5. Chibudee

    CHATO: Rais Magufuli asema Serikali haitafunga mipaka wala kuwazuia watu kutoka ndani ili kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona

    Amesisitiza kuwa Serikali imeamua kutowazuia Watu ndani ya nyumba zao wala kufunga mipaka kwa kutambua madhara mkubwa yanayoweza kutokeza kwa kufanya hivyo. Aidha, amesema madhara hayo yanaweza pia kuziathiri nchi 8 ambazo zinatengemea kupata huduma na bidhaa kupitia Tanzania hususan bandari ya...
  6. sabuwanka

    Rais Yoweri Kaguta Museveni anatufundisha mazoezi ya viungo ya ndani

    Museven anatushauri tufanye mazoezi ya viungo ndani ya nyumba au nyumbani katika kipindi hiki cha ombwe la corona
  7. Rich Pol

    Baadhi ya marais wenye elimu kubwa Afrika, Rais Magufuli ashika namba tano

    Sio tu kwamba wana madaraka makubwa ya kisiasa nchini mwao, bali wana elimu kubwa kwenye fani mbalimbali jambo linalothibithisha usemi wa Kiingereza wa “readers are leaders,” yaani viongozi ni watu wenye hulka ya kusoma sana. Hii ni orodha ya wakuu wa nchi za Afrika wenye elimu kubwa zaidi...
  8. GENTAMYCINE

    Je, kwa hii Kauli yake dhidi ya Rais Dkt. Magufuli, huyu Mchungaji ameponya tatizo au sasa ndiyo amelizidisha zaidi?

    "Makabila yote yana umoja wao, sisi hatukuwa na umoja kabisa hatuna desturi kama za Wachaga wanavyokuwa pamoja mwishoni mwa mwaka, niliamua kuwaunganisha pamoja kuna Watemi wa Kisukuma ukienda kule Usukumani utawapata watu. Lengo lilikuwa ni kuwa pamoja katika kusaidiana, tuwe pamoja na...
  9. Pascal Mayalla

    Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani. Je, Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika

    Wanabodi, Kila nipatapo nafasi, huwa naandika makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", makala hizi huwa zinachapishwa na magazeti mbalimbali, hivyo Wahariri kuweni free kuitumia makala yangu yoyote, na be free kui edit kwa kiwango chochote utakacho ona inafaa, maana hata mimi sitaki tena...
  10. Nyenyere

    Unabii kuhusu mh. rais J. P. Magufuli

    Unabii huu ulitolewa mwaka jana na mtumishi wa Mungu Dr. Ian Ndlovu wa Zimbabwe.
  11. J

    10-Year Jail Sentence for Kilifi DG - Uhuru Recommends

    Wakati naendelea kutafakari juu ya yule mama aliyetoroka katika karantini na kukamatwa na DC Kasesela huko Iringa pia yule jamaa aliyotoka Dubai na kutua JNIA Dsm na kukamatiwa Mwanza akiwa na maambukizi ya Corona ndio ghafla nakutana na mkwara wa Rais Kenyatta wa Kenya. Rais Kenyatta anasema...
  12. God'sBeliever

    Utata kifo cha hayati Abeid Karume

    Miaka 40 iliyopita, Aprili 7, 1972; Rais wa Serikali ya awamu ya kwanza ya Mapinduzi na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, ambaye pia alikuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Abeid Amani Karume, aliuawa kwa kupigwa risasi katika mazingira na sababu za...
  13. J

    Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar balozi Idd Seif yuko kwenye karantini ya Corona

    Balozi Seif Idd anasema baada ya kutoka Cuba ameamua kujiweka katika karantini ya siku 14 nyumbani kwake. Source ITV habari!
  14. D

    Barua ya Wazi kwa Rais John Pombe Magufuli - Madaktari Bingwa Wabobezi na TCU

    Mheshimiwa Rais! Hongera na Pole kwa majukumu makubwa uliyopewa na Watanzania. Nikiri kwamba barua yangu hii, imechagizwa na Mkutano wa Madaktari Tanzania wa mwaka huu. Bahati mbaya Dr. Elisha Osati alisahau kuwasilisha hili. Mheshimiwa Rais, toka umeingia madarakani umeokoa kiasi kikubwa cha...
  15. GENTAMYCINE

    Nchi ya Rwanda na Rais wake Paul Kagame wamekuwa mfano bora na wa kuigwa katika kupambana na COVID-19

    Serikali ya Rwanda kupitia Rais wake imefanya yafuatayo.. 1. Inawajali Wananchi wake mara kwa mara juu ya Ugonjwa 2. Inatoa Msaada wa Vyakula bure kabisa kwa Wananchi wake 3. Inatoa bure kabisa Vifaa vya Kujiinga na Ugonjwa kwa Wananchi wake 4. Waziri wake wa Afya hana Unafiki katika Kutoa...
  16. Magonjwa Mtambuka

    Maganja: Zitto hafai kuwa Rais, akipewa nchi atauza hadi watu wake

    Jamaa kajitoa.
  17. Doctor Mama Amon

    Siku Wapiga Kura Walipomwambia Rais Nixon "Urais sio Ufalme na Ikulu ya Imperial Presidency kutikisika

    Rais Richard Nixon, wa Marekani, alikuwa rais wa 37 wa nchi hiyo tangu 1969 hadi 1974 alipojiuzulu. Alikuwa rais kwa tiketi ya chama cha Republic lakini akaongoza nchi kama rais mfalme. Alipindua kanuni za somo la uraia zinazowambia watoto wetu shuleni kuwa dola inayo mihimili mitatu yenye...
  18. mitale na midimu

    Brazilian President Bolsonaro rejects calls for Coronavirus lockdown, says 'we're all going to die one day'

    Brazilian President Jair Bolsonaro has repeatedly dismissed the coronavirus as a "little cold" and urged residents to keep the country's economy going, even going so far as to tell his supporters why he's against lockdown: "We're all going to die one day." Bolsonaro, who is often compared to...
  19. The Sheriff

    Rais wa zamani wa Congo-Brazzaville Yhombi Opango afariki dunia kwa Covid-19

    Jacques Joachim Yhombi Opango Rais wa zamani wa Congo-Brazzaville, Jacques Joachim Yhombi Opango, amefariki dunia jijini Paris. Rais wa zamani wa Congo-Brazzaville, Jacques Joachim Yhombi Opango, ambaye alitawala nchi hiyo kati ya...
  20. T

    Rais Magufuli, tusaidie kampuni ya SKOL Building Contractors LTD itulipe mishahara na NSSF

    Hiki ni kilio chetu wafanyakazi cha zaidi ya mwaka mmoja tangu kuanza kufuatilia suala hili bila mafanikio katika ofisi zifuatazo:- (1) Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni (2) Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (3) NSSF-Kinondoni (4) Vyombo vya habari vya binafsi na serikali (Shirika letu pendwa la...
Back
Top Bottom