Uchaguzi 2020 Polisi Mbarali wavamia msafara wa mgombea Ubunge wa CHADEMA na kulipua mabomu

Nairobian

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
873
2,277
Polisi wa kituo kidocho cha Mbarali Mr. Antipas Temu akiwa na Gari aina ya Nissan T809 AVW amevamia msafara wa mgombea Ubunge wa Chadema na kuanza kulipua mabomu. Kabla ya kuanza kurusha mabomu, Bw. Temu alijificha kichakani, naa Baada ya kitendo hicho, na kuona wananchi wananchi wanaanza kuchukua mawe kujilinda, Bw. Temu aliingia kwenye gari akakimbia kurudi kituoni.

Viongozi wa Chadema waliporudi kituoni kuripoti hilo tukio, Bw. Temu amewaambia kwamba ni kweli mabomu amepiga yeye na ametumwa na IGP Sirro na CCM na hakuna atakalofanywa. Na tayari ameshawafungulia wanachadema Kesi. Baada ya hiyo kauli, Bw. Temu amekimbia kutoka kituoni kwenda kusikojuliana.

Hadi naandika hii post polisi wote kituoni wamekataa kuchukua maelezo ya viongozi wa Chadema .Watu kadhaa wameumia akiwemo mama mmoja aliyevunjika mguu. Watu walikuwa ninwengi sana na kama siyo busara za mgombea Ubunge, raia ilikuwa wachukue sheria mkononi kujilinda


 
Kitu cha kwanza baada ya Lissu kutwaa madaraka Jeshi la polisi lifutwe
Ndugu mbona ushabik umezid hapo.

Umefikiria kwa kutumia nn uliposema jeshi la polis lifutwe?

Unajua kazi za halali za jeshi la polis kweli!Na je, baada ya Jeshi la Polis kufutwa majukum yake nan atafanya?
Vipi kuhusu hali ya usalama wa raia na mali zao utakavyokuwa.
 
baada ya kulivunja litaundwa upya
Kuvunja tuu haitoshi, hawa wote walio sababisha hasara hiyo ya kuvunja jeshi zima LA polisi waende jela kwa matumizi mabaya ya ofisi na kuleta maafa kwa watu.
Hicho sio kisasi Bali ni sheria.
 
Tumewaonya Sana polisi kaeni mbali na ccm mtachafuka hamsikii mnazidiwa na hata Police wa Malawi kwa weledi? Hii tabia ya polisi kuzoeza raia kuizoea polisi sababu ya kukiuka haki ni mbaya sana kwa taifa uleta chuki. Siku zote polisi ndio wamekuwa chanzo cha kusababisha vurugu. Itafika mahali raia watazoea mabomu sijui mtategemea nn
 
Back
Top Bottom