Jeshi la Polisi linafanya upuuzi kukamata viongozi na wafuasi wa vyama vya upinzani na kuacha wale wa chama tawala na mawakala wao.
Kitendo hiki kinadhihirisha jinsi vyombo vya dola vinavyotumika kwa maslahi ya kuhakikisha chama tawala kinapata kwa ukamilifu kile kinachokitaka kwa nguvu. Kwenye...
JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wanne akiwemo Askari Polisi mmoja namba G.8695 PC JOHN KAIJAGE [34] Mkazi wa Isyesye Jijini Mbeya, FOTUNATUS KAGANDE [23] Mkazi wa Iwambi, PETSON DANIEL [22] Mkazi wa Iwambi na JASTINI KAGANDE [27] Mwanafunzi St.John na Mkazi wa Iwambi kwa...
Polisi wa Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi wamemkamata Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ndugu Zitto Kabwe Pamoja na baadhi ya viongozi wengine wakati wakiwa wanaendesha kikao cha ndani cha kukaribisha Madiwani wapya.
---
Kwa mujibu wa Chama cha ACT Wazalendo kupitia mtandao wa Twitter...
Mchungaji Msigwa alipata kusikika akitoa kauli nzito ambazo zingeweza kulimega taifa vipande vipande na hata kusababisha maandamano makubwa katika nchi yetu kama yele yaliyofanyika kule Marekani kwa kupigwa na kufariki dunia kwa Geoge Floyd.
Msigwa alipata kusikika kupitia mitandao ya kijamii...
JESHI la Polisi mkoani Tabora limewatia mbaroni watu wawili kwa tuhuma za kuhujumu miradi ya maji ukiwamo wa Ziwa Victoria kwenda mkoani humo katika operesheni iliyofanywa na jeshi hilo.
Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Kamanda wa Polisi Mkoani wa Tabora, Barnabas Mwakalukwa, alitaja...
Jeshi la polisi limemfukuza kazi askari wake mwenye namba E 8905 Koplo, Anthony Francis wa Kituo cha Polisi Kisarawe aliyekamatwa akisafirisha dawa za kulevya aina ya bangi.
Fracis alikutwa akisafirisha dawa hizo kiasi cha kilogramu 76 katika eneo la Nanenane, Manispaa ya Morogoro ...
Maaskari katika kituo hiki wanafanya kazi vizuri ila wachache wamekithiri rushwa! Waonye asikari hao!
Nikiwa kwenye daladala naenda Tunduru! Tulikaa na mama mmoja; yule mama alipigiwa simu na asikari wa kituo hicho akimwambia apeleke 70,000 kama sivyo kesi itapelekwa mahakamani, yule nimekaa...
Huyu ni Professor Steve Loche, mhadhiri wa chuo kimoja katika jimbo la Massachusetts na ufuatao ni mkasa uliowahi kumkuta kwa sababu tu mi mtu mweusi...anaeleza:
“This is what I wore to work today. On my way to get a burrito before work, I was detained by the police.
I noticed the police car...
Rais Donald Trump wa Marekani amesaini amri ya rais kuhusu utendaji wa polisi, na kutoa agizo la kuchukua hatua dhidi ya ukatili wa polisi na ubaguzi wa rangi.
Hatua hiyo imekuja wiki tatu baada ya kifo cha George Floyd, raia mweusi wa Marekani wenye umri wa miaka 46, ambacho kimesababisha...
Jeshi la polisi wilayani Manyoni mkoani Singida linamshikilia Yusufu Abdallah mkazi wa Kitongoji cha Tambukareli kwa tuhuma za kumuua mkewe Bi.Neema Vicent na kumfukia kwenye makaburi ya zamani kwa zaidi ya siku arobaini huku ndugu wakihangaika kumtafuta bila mafanikio.
Mwili wa marehemu Bi...
Habari za siku nyingi JF
Hakika kuna kitu hakipo sawa ndani ya Jeshi la polisi la Tanzania
Askari wetu wengi tunaishi nao huku mitaani katika nyumba za kupanga, wachache wanaishi katika nyumba za serikali na wengine wachache saana wamejenga nyumba zao vizuri tu
Kwa sasa hali imebadilika sana...
Mwanaume mmoja nchini Kenya amejisalimisha kituo cha polisi cha Embakasi Jijini Nairobi akiwa hana nguo baada ya kukimbia kutoka kwenye fumanizi nyumbani kwa mke wa Mwanajeshi.
Imeelezwa kuwa mume wa mwanamke huyo ambaye ni Mwanajeshi alirudi ghafla nyumbani bila taarifa na kumkuta mkewe na...
Ni jambo gani polisi waliwai onesha we led I hapa nchini?
Wapo kusakizia watu, na kuwafungulia mashtaka kwa niaba ya CCM!
Wapo kula Rushwa!!
Wapo kutekeleza Mauaji!!!
Nasikia na wengine wameanza kuuza miadarati na mirungi!!
Polisi wanakodisha waarifu silaha!!!
Polisi wanawarubuni wake za watu...
Tarehe 9 mwezi huu Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mh. Mbowe alishambuliwa na kuvunjwa mguu na watu wasiojulikana, ni takriban siku 3 tu tayari polisi wamefanya uchunguzi na kuja na matokeo.
Lissu alishambuliwa tarehe11/9/2017 hadi leo karibu miaka mitatu 3, polisi wanadai wameshindwa kuendelea na...
USHAHIDI wa awali wa Jeshi la Polisi nchini kuhusu madai ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe umeonesh kuwa siku hiyo ya tukio Mbowe alikuwa amelewa chakali na alizunguka kwenye kumbi mbalimbali za...
Kenya: Polisi washutumiwa kuwaua watu 15 kiholela
Mamlaka inayoangazia utendakazi wa polisi nchini Kenya IPOA, Jumatano ilisema kwamba Wakenya wapatao 15 wameuawa na polisi katika taifa hilo la Afrika Mashariki katika kipindi hiki ambacho kumewekwa marufuku ya kutoka nje usiku, kati ya masharti...
Polisi watatu wamekamatwa nchini Kenya baada ya mmoja wa polisi hao kuonekana akimchapa na kumburuza mwanamke mmoja kwa pikipiki.
Mwanamke huyo anadaiwa kuhusiana na tuhuma za wizi mjini Nakuru.
Mwanamke huyo amelazwa hospitali baada ya kuumia miguuni na mikononi.
Mwanamke huyo amekiambia...
Wakenya wapatao 15 wameuawa na polisi nchini Kenya katika kipindi hiki ambacho kumewekwa marufuku ya kutembea usiku ili kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona, ripoti huru ya mamlaka inayoangazia makosa ya polisi katika taifa hilo (IPOA) imesema.
Polisi sita sasa watashtakiwa kwa makosa ya...
Baada ya Mbowe kushambuliwa kumeibuka watu wenye kuelekea tukio lenyewe utagikiri wao ndio wahusika, familia au walikuwepo wakati wa tukio. Kuna wabunge wanatoa maelezo eti walikuwa na Mbowe usiku akiwa kalewa, jibu ni lahidi tu Mbowe hajaanza kunywa pombe jana wala juzi
Kuna Ndugai anadai kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.