ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 609
- 1,540
Katibu Mkuu na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini, Ndugu Ado Shaibu amekamatwa na Polisi ili kuzuiwa asihudhurie Mkutano wa Tundu Lissu unaofanyika Jimboni Kwake.
Ndugu Ado Shaibu natuhumiwa kutumia Kampeni zake kuhamasisha wakulima wa korosho kugomea Mfumo wa Stakabadhi Ghalani mpaka ufanyiwe marekebisho, pamoja na kuhamasisha Wakulima kujilinda dhidi ya Tembo wanaovamia Mashamba na Makazi yao.
Vitendo vya Jeshi la Polisi kuwasumbua, kuwapotezea muda na kuwadhibiti Viongozi wa Vyama vya Upinzani kufanya siasa vimekithiri mno katika kipindi hichi cha uchaguzi. Vitendo hivi vimeutia dosari uchaguzi huu na katu havikubaliki wala havivumiliki.
Katibu Mkuu akizungumza na muathirika wa Uvamizi wa Tembo katika Mashamba.
Katibu Mkuu akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Tunduru Kaskazini.
Ndugu Ado Shaibu natuhumiwa kutumia Kampeni zake kuhamasisha wakulima wa korosho kugomea Mfumo wa Stakabadhi Ghalani mpaka ufanyiwe marekebisho, pamoja na kuhamasisha Wakulima kujilinda dhidi ya Tembo wanaovamia Mashamba na Makazi yao.
Vitendo vya Jeshi la Polisi kuwasumbua, kuwapotezea muda na kuwadhibiti Viongozi wa Vyama vya Upinzani kufanya siasa vimekithiri mno katika kipindi hichi cha uchaguzi. Vitendo hivi vimeutia dosari uchaguzi huu na katu havikubaliki wala havivumiliki.
Katibu Mkuu akizungumza na muathirika wa Uvamizi wa Tembo katika Mashamba.
Katibu Mkuu akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Tunduru Kaskazini.