kidochi og
Member
- May 27, 2020
- 45
- 74
Producer wa muziki s2kizzy ametoa taarifa kupitia ukulasa wake wa Instagram kuwa usiku wa kuamkia Leo amevamuwa na Hawa wanaoijiita ulinzi shirikishi na kufanyiwa fujo kwenye studio yake ikiwa pamoja na kuvunjiwa vifaa vyote vya studio..
Anaendelea .. tumevamiwa tumepigwa kuteswa Sana anadai wanawake waliokuwepo humo studio wamedharirishwa, wamefanyiwa unyama wa kutisha sana
"WAMETUPIGA NA KUTUVUA NGUO MBELE YA WANAUME ZAIDI YA 20"
Wakina Dada waliokuwepo Studio kwa @s2kizzy waelezea Jinsi walivyopigwa na Kuzalilishwa na Watu waliojitambulisha kama "Walinzi Shirikishi" Usiku wa Kuamkia Leo .
Studio ya Producer @s2kizzy imeharibiwa vibaya , na Watu waliokuwepo ndani kupigwa na Marungu Kutoka Kwa Watu waliojitambulisha kuwa Walinzi .
Anaendelea .. tumevamiwa tumepigwa kuteswa Sana anadai wanawake waliokuwepo humo studio wamedharirishwa, wamefanyiwa unyama wa kutisha sana
"WAMETUPIGA NA KUTUVUA NGUO MBELE YA WANAUME ZAIDI YA 20"
Wakina Dada waliokuwepo Studio kwa @s2kizzy waelezea Jinsi walivyopigwa na Kuzalilishwa na Watu waliojitambulisha kama "Walinzi Shirikishi" Usiku wa Kuamkia Leo .
Studio ya Producer @s2kizzy imeharibiwa vibaya , na Watu waliokuwepo ndani kupigwa na Marungu Kutoka Kwa Watu waliojitambulisha kuwa Walinzi .