petrol

Gasoline () or petrol () (see the etymology for naming differences and the use of the term gas) is a transparent, petroleum-derived flammable liquid that is used primarily as a fuel in most spark-ignited internal combustion engines. It consists mostly of organic compounds obtained by the fractional distillation of petroleum, enhanced with a variety of additives. On average, a 160-liter (42-U.S.-gallon) barrel of crude oil can yield up to about 72 liters (19 U.S. gallons) of gasoline after processing in an oil refinery, depending on the crude oil assay and on what other refined products are also extracted.
The characteristic of a particular gasoline blend to resist igniting too early (which causes knocking and reduces efficiency in reciprocating engines) is measured by its octane rating, which is produced in several grades. Tetraethyl lead and other lead compounds, once widely used to increase octane rating, are no longer used in most areas (they are still used in aviation
and off-road and auto-racing applications). Other chemicals are frequently added to gasoline to improve chemical stability and performance characteristics, control corrosiveness, and provide fuel system cleaning. Gasoline may contain oxygenating (oxygen-enhancing) chemicals such as ethanol, MTBE, or ETBE to improve combustion.
Gasoline can enter the environment uncombusted, both as liquid and as vapor, from leakage and handling during production, transport, and delivery (e.g., from storage tanks, from spills, etc.). As an example of efforts to control such leakage, many underground storage tanks are required to have extensive measures in place to detect and prevent such leaks. Gasoline contains known carcinogens. Gasoline emissions are estimated to cause over 100,000 premature deaths every year. Burning a liter of gasoline emits about 2.3 kg of CO2 contributing to human-caused climate change.

View More On Wikipedia.org
  1. Samatime Magari

    Jua tofauti ya Unleaded na Super/Premium Unleaded Petrol

    Nakujuza Ili siku nyingine ukiona hii usitoe macho kama Jamaa wa Masters aliyeapply kazi ya sensa na akakosa, kabla hatujafika mbali unatakiwa kujua unleaded petrol ni petrol isiyokuwa na kiambata [additive] cha lead... . Hiki ni kiambata ambacho kilikuwa kinaongezwa kwenye Petrol ili kuongeza...
  2. Magazetini

    Bungeni: Mjadala wa dharura kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta nchini. Mbunge asema tozo mbili zinaongeza 792 kwenye bei

    Leo May 5, mbunge Kilindi, Omary Kigua ametoa hoja ya kuahirisha shughuli zake za kawaida ili kujadili dharula ya ongezeko la bei ya mafuta. Kigua amesema kuna changamoto ya kupanda kwa haraka sana kwa mafuta ya taa, dizeli na petroli ambapo hivyo vikipanda ni kimepandishwa kila kitu na...
  3. Trubarg

    Petrol na diesel Tanzania ni ghali kuliko Kenya

    Uchunguzi wangu mdogo inaonyesha kwamba kwa mwezi huu wa Mei Dar ✅Petrol ni Sh. 3100+ ✅Diesel Sh 3200+ Nairobi ✅Petrol 144+ Ksh=2884Tsh ✅Diesel 125.5= 2503Tsh. Mombasa ✅Petrol Ksh. 142=2850Tsh ✅Diesel Ksh. 123=2463Tsh Bado sijaelewa sababu ya hii difference ilihali wote tunasingizia vita ya...
  4. sky soldier

    Majirani Wakenya, bei za mafuta Tanzania zimepanda 157.6 - 168.3 petrol & 163.2 - 169.7 diesel. Kwenu vipi?

    hizi bei zimeanza kutuchoma kama pasi wenye vipato vya kawaida hali ipo vipi kwa Kenyatta huko? Petrol 3,148 tshs / 157.66 kshs >>> 3,361 tshs / 168.3 kshs Disel 3,258 tshs / 163.2 kshs >>> 3,390 tshs / 169.78 kshs
  5. C

    Hivi wauza mafuta / (petrol, dizeli) ni akina nani nchi hii?

    Wana JF, Wananchi.. Hili ni swali... Hebu tusaidiane hapa kujua kiunaga ubaga, hawa wauza mafuta Tanzania ni akina nani.. Yani wale wa jumla, na wa rejareja (hizi petrol stations) Nalenga hasa kupata wenye hisa/ au wamiliki, na marafiki zao... Naomba tusaidiane tujue kwa sababu, si kosa...
  6. Mparee2

    Kiwanda cha kusafisha Petroli Kigamboni

    Hivi tuna mkakati wowote wa kufufua kiwanda cha kusafisha mafuta Kigamboni au Pengine kujenga kingine Kipya kule bandari yaTanga Ili kiende sambamba na Ukamilishaji wa Mradi mkubwa wa Bomba la mafuta ghafi kutokea Uganda Nauliza tu isijekuwa tuna subiri mafuta yapite hapa kwetu yaende Arabuni...
  7. Meneja Wa Makampuni

    Nilitegemea kipindi kama hiki viongozi washauri baadhi ya Watanzania kutumia gesi asilia badala ya petrol kwenye magari

    Ili kupunguza gharama za maisha nilitegemea kipindi kama hichi viongozi washauri baadhi ya watanzania kutumia gesi asilia badala ya petrol kwenye magari. Gesi asilia (CNG) ni nishati ambayo hutumiwa kama mbadala wa petroli kwenye magari. Vilevile hutumiwa kama mbadala wa dizeli pia. Mfano...
  8. Mparee2

    Mtazamo: Tanzania haina wafanyabiashara wa Petroli

    Kwa mtazamo wangu Tanzania haina wafanya Biashara wa Petrol bali ina wasambazaji wa Petrol Hii ni kwa sababu, Petrol inanunuliwa kwa usimamizi wa serikali, inapangwa bei na Serikali, wasambazaji wanachukua kupeleka vituo vya mafuta kuisambaza kwa bei waliyo pangiwa na Serikali (kama MSD inavyo...
  9. J

    Bei ya Petrol Ngara yafikia 5000 kwa lita. Mamlaka ya Maji yashindwa kutoa huduma

    Wilaya ya Ngara mkoani Kagera inakumbana na changamoto ya ukosefu wa bidhaa ambapo sasa lita moja ya Petrol inauzwa tsh 5000. Wakati hayo yakijiri, mitambo ya kusuma maji imezimwa kwa siku tano sasa kutokana na upungufu wa umeme. Kwa upande wa mafuta ya magari, vituo rasmi vya kuuza bidhaa...
  10. J

    Vita vya Ukraine: Bei ya petrol na diesel UK yapaa hadi Tsh 5000 kwa lita

    When Jenni Hannant’s boiler packed up, she tried the usual trick to get it going again: banging the pump, pressing the red button and expecting it to kick back in. When it still wouldn’t start, and she called a plumber for advice, they told her to check the oil tank that powers her Norfolk home...
  11. franktemu123

    Najuta kumiliki Harrier 2990cc (Petrol)

    Nilijichanganya kwa ushauri kutoka kwa Mafundi uchwara. Nilinunua Toyota Harrier 2990cc Petrol ukiweka Lita 10 kutoka Kimara mpaka Kariakoo taa inawaka. Naliuza kwa 17m TZS Ila wateja hawarudi.
  12. moneymakerman

    Okoa matumizi ya petrol na kuondoa shida za gari zisizotatuliķa kwa kufanya jambo dogo kwenye gari

    SABABU ILIYOJIFICHA GARI YAKO KUTUMIA MAFUTA ZAIDI NA MATATIZO MENGINE Wasiliana na mimi +255788624499 nikusafishie Mass Air Flow (MAF) senso. Soma zaidi... Dalili za MAF sensor inahitilafu ni, 1. Engine ni ngumu kuwasha. 2. Engine inazima muda mfupi baada ya kuwaka. 3. Engine inasitasita au...
  13. Malchiah

    Kwanini Tanzania mafuta ya petrol na diesel ni ghali kuliko wanufaika wa bandari yetu?!

    Habari ya uzima ndugu zangu? Nimewaza sanaaa hili jambo,maana naona namna mwananchi wa chini kiuchumi anavyoendelea kuminywa kupitia ongezeko la mafuta. Ni miezi miwili imepita madereva mkoani Mbeya walikuwa wanakimbilia Zambia kununua mafuta,maana ni bei nzuri kuliko kwetu. Au ndio...
  14. Nyankurungu2020

    Edward Lowassa aliwaonya CCM kuwa ukosefu wa ajira ni bomu la petrol linalosubiri kulipuka, leo hii wamachinga waliojiajiri wanafurushwa hovyo

    Kwa nini CCM kimekuwa chama cha kusahau mara moja na kuwaona watanzania ni wapuuzi? Hamjui wamachinga ni sekta isiyorasmi amabayo imeajiri watu wa kila namna? Leo hii Tanzania nzima mnawafurusha kuhama mijini. Mnadai mnawahamishia maeneo yanayofaa. Hayo maeneo mnaodai yanafaa, je yanafikika...
  15. The Palm Tree

    CHADEMA waibua ufisadi kwenye tozo za mafuta ya petrol, diesel & kerosene. Bei badala ya kushuka ndiyo imepanda

    1. Hii serikali ni ya ajabu sana. Inasema uongo mchana kweupe. 2. Yaani kiongozi anatoka anasema tumepunguza tozo hii na ile ili kupunguza bei za nishati ya mafuta ya petrol, diesel na ya taa (kerosene). 3. Lakini cha ajabu, badala ya bei kupungua ndiyo zimeongezeka kwa wastani wa shilingi...
  16. Lole Gwakisa

    TAWAQAL Petrol Station, Ipogolo, Iringa; huduma ya chakula mgawahani ni mbovu sana

    Kwa muda sasa nilikuwa na simama kupata msosi katika kituo hiki cha Petroli, na kupumzika kwa ingalau nusu saa kabla ya kuendelea na safari yangu ambayo huwa marathon, Dar-Mbeya. Kituo kina mandhri nzuri ingawaje sasa kimeanza kuchakaa kutokana na kukosa matunzo. Mbaya zaidi ni huduma ya...
  17. J

    Mbatia: Tutegemee Petrol kupanda bei zaidi, haya tunayouziwa Tsh. 2400 P/L yalinunuliwa Aprili

    Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema bei ya Petrol na Diesel huko duniani inaendelea kupanda na amewataka watanzania kutoshangaa ikiendelea kupaa hapa nchini. Mbatia amesema haya mafuta tunayouziwa Tsh 2400 kwa lita yalinunuliwa mwezi Aprili wakati mafuta hayajapanda bei kwenye soko...
  18. J

    Je, Uchumi unapaa au unashuka? Ongezeko la bei ya petrol na diesel laanza kupaisha bei za bidhaa na huduma

    Maumivu ya ongezeko la bei ya wese yameshaanza kusikika kidogokidogo hasa kwa upande wa bei za bidhaa japo haijawa rasmi bado. Sina hakika sana kama uchumi unapaa, unadumaa au unashuka ila nilicho na uhakika nacho wamiliki wa vyombo vya usafiri wameanza kuongeza bei kimtindo. Nawasalimu kwa...
  19. jitombashisho

    Inakuwaje bei ya mafuta Tanzania inakuwa ghali kuliko nchi ambazo zinapitisha bidhaa hiyo bandari ya Tanzania?

    Ni aibu kama nchi! Wilayani Ngara mkoa wa Kagera lita ya petroli inauzwa Tsh. 2630 wakati huo huo upande wa Rwanda Wilaya ya Kirehe ambapo hazizidi kilomita 40 ufike petroli lita ni Tsh. 2000. Kazi kwenu wadau na tumpongeze mama kwa kuupiga mwingi. -
Back
Top Bottom