Majambazi waliovamia Kampuni kuiba Petrol na Dizeli wajeruhiwa kwa risasi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464

Press Novemba  17, 2023_page-0001.jpg
 
Watuhumiwa walikuwa na silaha za jadi nondo na mapanga..

Polisi wakawa na bunduki zenye risasi ambapo walifanikiwa kuwajeruhi majambazi wawili..

Sijui ikawaje watuhumiwa wengine wakatotoka, polisi walikwama wapi?!

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Watuhumiwa walikuwa na silaha za jadi nondo na mapanga..

Polisi wakawa na bunduki zenye risasi ambapo walifanikiwa kuwajeruhi majambazi wawili..

Sijui ikawaje watuhumiwa wengine wakatotoka, polisi walikwama wapi?!

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Very possible kutoroka!
Ukitaka polisi waingie kizembe eeh?
 
Back
Top Bottom