JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Very possible kutoroka!Watuhumiwa walikuwa na silaha za jadi nondo na mapanga..
Polisi wakawa na bunduki zenye risasi ambapo walifanikiwa kuwajeruhi majambazi wawili..
Sijui ikawaje watuhumiwa wengine wakatotoka, polisi walikwama wapi?!
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app