Iundwe tume Huru suala la mafuta ya petroli

Lambardi

JF-Expert Member
Feb 7, 2008
16,513
17,386
Wanabodi kama alivyopendekeza Mbunge. Naomba kusisitiza suala kuundwa tume huru tujue madudu yapoje na upigaji kwenye mnyororo mzima wa mafuta ya petrol.

Kumtoa Mjinja bado hakusaidii wameiba sana. NAtoil ni balaa na laana kubwa.

 
Back
Top Bottom