Kazi ganiNaomba kufahamu maslahi yake yakoje kwa wafanyakazi
KUna ndugu yangu kapata kazi
Asante.
Unafahamu?Duuu
HapanaUnafahamu?
Sasa kazi apate ndugu yako halafu we unataka kujua maslahi yake? Ili uanze kumganda au?Naomba kufahamu maslahi yake yakoje kwa wafanyakazi
KUna ndugu yangu kapata kazi
Asante.
Kazi za laana hizi, haya hongereniAccountant
Pesa ya mgao wake yeye dalaliNini sababu ya msingi haswa, kwa swali hili.
Unataka kujua kwa sababu ipi?
Dalali anataka pasu lake mwisho wa Mwezi, hujaelewa niniSasa kazi apate ndugu yako halafu we unataka kujua maslahi yake? Ili uanze kumganda au?
Pambana kijana
Accountant?Pale huwa laki na themanini ikizidi labda laki 2
Kapata kazi kampuni mbili so tupo tunajaribu kucheknipi itakua na maslahi mazuri kwa maisha yake bossSasa kazi apate ndugu yako halafu we unataka kujua maslahi yake? Ili uanze kumganda au?
Pambana kijana
Hivi haujui kuna madalali? Sasa anataka ajue kwa hio kazi analipwa ngapi ili na yeye ajipigie % zake hapoJe unataka kuwekea mipango kipato chake? Wabongo bhana!
Wewe sio dalali?Kapata kazi kampuni mbili so tupo tunajaribu kucheknipi itakua na maslahi mazuri kwa maisha yake boss
Sawa mkuuUmeuliza swali la kipumbavu sana. Huyo ndugu yako awe makini sana na ndugu mpuuzi kama wewe vinginevyo kwa asili ya hiyo kazi yake anaweza jikuta nyuma ya nondo.