Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 4,742
- 17,989
Kijana kabla hajaanza kuendesha pikipiki (bodaboda) anakuwa timamu. Ila baada ya kuanza hiyo kazi anakuwa rafu sana, haogopi kuendesha pikipiki speed 120 au kupita katikati ya masemi barabarani au kupiga norinda.
Je, harufu ya petrol ndiyo inaharibu akili za waendesha bodaboda?
Je, harufu ya petrol ndiyo inaharibu akili za waendesha bodaboda?