Mafuta ya Petrol na Diesel yameenza kuadimika tena nchini

TikTok2020

JF-Expert Member
Oct 20, 2022
1,817
3,140
Wanajamvi

Taharuki ya kuadimika kwa mafuta ya Petrol na Diesel imeanza tena kama ilivyo ada kila ukifika mwisho wa mwezi

Leo tarehe 27.09.2023 Urambo Tabora Hali si shwari misururu ya madumu kweli sheli yameanza

Inasiktikisha sana kuona wananchi wakiteseka namna hii na serikali tushindwa kutatua tatizo hilo

Kila mwisho wa mwezi inatokea upungufu mkubwa sana wa mafuta na hili linafanyika ili kusubiri beimpya zinazotangazwa kila mwanzo wa mwezi

---
mafuta.jpg


Wananchi wa Urambo mkoani Tabora wakiwa wamepanga foleni kusubiri huduma ya kuuziwa mafuta asubuhi ya leo Jumatano, Septemba 27, 2023 katika moja ya kituo cha mafuta katikati ya mji huo.

Kwa mujibu wa wakazi, foleni ya mafuta Urambo ni tatizo sugu lililodumu kwa takribani miezi mitatu sasa huku ufumbuzi wake ukiwa bado haujajulikana.

Urambo yenye vituo vitatu pekee vya mafuta, petroli inauzwa kwa gharama ya Sh 3,331 huku dizeli ikiuzwa kwa Sh 3,377.

"Changamoto ya mafuta ni kubwa hapa Urambo, inatuchukua dakika mpaka 45 wakati mwingine kufikia foleni yako ya kujaza mafuta, tunawahi asubuhi angalau foleni ni ndogo. Tuna miezi mitatu sasa hatujui ni lini changamoto hii itakoma," amesema Omary Juma mwendesha gari dogo ya mizigo maarufu 'Kirikuu'.

(Imeandikwa na Herieth Makwetta)

Tuna safari ndefu sana.
 
Sawa kuna uhaba wa bidhaa ya petrol nchini lakini je. Kunani tabora jamani kunaniiiiii???
 
Kina Maharage wanaimarisha biashara zao ndani ya taasisi za serikali.

Huku Betina wa bungeni anajibebisha usiku akiwa kifuani kwa mumewe kutaka afunguliwe mradi mpya wa mabilioni. Pesa inapatikana vipi, kuadimisha mafuta ili bei ipande.

Kuwa nje ya uongozi Tanzania ni mateso.
 
Kina Maharage wanaimarisha biashara zao ndani ya taasisi za serikali.

Huku Betina wa bungeni anajibebisha usiku akiwa kifuani kwa mumewe kutaka afunguliwe mradi mpya wa mabilioni. Pesa inapatikana vipi, kuadimisha mafuta ili bei ipande.

Kuwa nje uongozi Tanzania ni mateso.
Hawa jamaa shida huwa wanaziona kwenye TV pekee
 
If hiyo hali ikijirudia, serikali itumie iron hand against wahusika,
Cant be like this hii ni disrespect kubwa sana
 
Wanajamvi

Taharuki ya kuadimika kwa mafuta ya Petrol na Diesel imeanza tena kama ilivyo ada kila ukifika mwisho wa mwezi

Leo tarehe 27.09.2023 Urambo Tabora Hali si shwari misururu ya madumu kweli sheli yameanza

Inasiktikisha sana kuona wananchi wakiteseka namna hii na serikali tushindwa kutatua tatizo hilo

Kila mwisho wa mwezi inatokea upungufu mkubwa sana wa mafuta na hili linafanyika ili kusubiri beimpya zinazotangazwa kila mwanzo wa mwezi

---
View attachment 2764016

Wananchi wa Urambo mkoani Tabora wakiwa wamepanga foleni kusubiri huduma ya kuuziwa mafuta asubuhi ya leo Jumatano, Septemba 27, 2023 katika moja ya kituo cha mafuta katikati ya mji huo.

Kwa mujibu wa wakazi, foleni ya mafuta Urambo ni tatizo sugu lililodumu kwa takribani miezi mitatu sasa huku ufumbuzi wake ukiwa bado haujajulikana.

Urambo yenye vituo vitatu pekee vya mafuta, petroli inauzwa kwa gharama ya Sh 3,331 huku dizeli ikiuzwa kwa Sh 3,377.

"Changamoto ya mafuta ni kubwa hapa Urambo, inatuchukua dakika mpaka 45 wakati mwingine kufikia foleni yako ya kujaza mafuta, tunawahi asubuhi angalau foleni ni ndogo. Tuna miezi mitatu sasa hatujui ni lini changamoto hii itakoma," amesema Omary Juma mwendesha gari dogo ya mizigo maarufu 'Kirikuu'.

(Imeandikwa na Herieth Makwetta)

Tuna safari ndefu sana.
Machawa wa mama.. choiceVariable na Faizafoxy aka bi MKORA wanakuja kulitolea ufafanuzi!!
 
Wanajamvi

Taharuki ya kuadimika kwa mafuta ya Petrol na Diesel imeanza tena kama ilivyo ada kila ukifika mwisho wa mwezi

Leo tarehe 27.09.2023 Urambo Tabora Hali si shwari misururu ya madumu kweli sheli yameanza

Inasiktikisha sana kuona wananchi wakiteseka namna hii na serikali tushindwa kutatua tatizo hilo

Kila mwisho wa mwezi inatokea upungufu mkubwa sana wa mafuta na hili linafanyika ili kusubiri beimpya zinazotangazwa kila mwanzo wa mwezi

---
View attachment 2764016

Wananchi wa Urambo mkoani Tabora wakiwa wamepanga foleni kusubiri huduma ya kuuziwa mafuta asubuhi ya leo Jumatano, Septemba 27, 2023 katika moja ya kituo cha mafuta katikati ya mji huo.

Kwa mujibu wa wakazi, foleni ya mafuta Urambo ni tatizo sugu lililodumu kwa takribani miezi mitatu sasa huku ufumbuzi wake ukiwa bado haujajulikana.

Urambo yenye vituo vitatu pekee vya mafuta, petroli inauzwa kwa gharama ya Sh 3,331 huku dizeli ikiuzwa kwa Sh 3,377.

"Changamoto ya mafuta ni kubwa hapa Urambo, inatuchukua dakika mpaka 45 wakati mwingine kufikia foleni yako ya kujaza mafuta, tunawahi asubuhi angalau foleni ni ndogo. Tuna miezi mitatu sasa hatujui ni lini changamoto hii itakoma," amesema Omary Juma mwendesha gari dogo ya mizigo maarufu 'Kirikuu'.

(Imeandikwa na Herieth Makwetta)

Tuna safari ndefu sana.
Wakati Umeme unasumbua (Mgawo), tujiandae na kupanda kwa bei ya mafuta
 
Back
Top Bottom