princ kadur
Member
- Mar 12, 2020
- 62
- 51
Habar wakuu msaada mwenye kufahamu E-mail Ama Namba za simu ya Petrol station za puma hasa Arusha..
Habar wakuu msaada mwenye kufahamu E-mail Ama Namba za simu ya Petrol station za puma hasa Arusha..
Ni upigaji kwenda mbele.Hv vituo vinaitwa puma lkn vimekodishwa kwa watu ndio wanaviendesha….mfano ile ya pale metropole inaendeshwa na manjis ile ya philips inaendeshwa na setway (laswai) nk